Lary Fink: Mtu mwenye nguvu zaidi Duniani kwenye ulimwengu wa fedha

Lary Fink: Mtu mwenye nguvu zaidi Duniani kwenye ulimwengu wa fedha

Kwa masikini Ila kwa waliozaliwa hela wakaziZoea wakiwa wadogo,Ile Hali iko subconscious hela Ni ishu ya kawaida Kama kupumua tu huwezi jua Mana they do it or they are in "just owning money mode zone" They own it flawlessly and effortlessly. They shouldn't second guess to own money. They are in owning mode no need to work around to announce to world they own it sir. They are just who they are

Hata MO alizaliwa akazikuta pesa, na yuko list ya matajiri africa

Tuoneshe hao wengine wenye pesa kuzidi akina MO na bakhresa.

Tuoneshe hao wenye utajiri zaidi ya trilion 5 ambao utajiri wao haujioneshi, taja na sources zao za fedha
 
niliwahi kusoma sehemu, matajiri halisi, wakubwa duniani na wenye nguvu zaidi ya kifedha huwezi kukuta majina yao forbes.

kuna familia zina ukwasi wa kutisha, ila huwezi kuona majina yao forbes.
Forbes hata ukiwalipa wanakuingiza kwenye list.
 
Hata MO alizaliwa akazikuta pesa, na yuko list ya matajiri africa

Tuoneshe hao wengine wenye pesa kuzidi akina MO na bakhresa.

Tuoneshe hao wenye utajiri zaidi ya trilion 5 ambao utajiri wao haujioneshi, taja na sources zao za fedha
Hujaona Kuna watu wa kawaida sana wanapata let say 300M Ila wanapiga kelele kuliko hao uliowataja.
 
That brings my point home kwamba hela haijifichi. Either umezaliwa nazo au ni self-made inaonekana tu. Yusuph Bakhressa mtoto wa Bakhressa hajitangazi ila mzigo wake unaonekana.
Na jamaa hana machawa
 
niliwahi kusoma sehemu, matajiri halisi, wakubwa duniani na wenye nguvu zaidi ya kifedha huwezi kukuta majina yao forbes.

kuna familia zina ukwasi wa kutisha, ila huwezi kuona majina yao forbes.
Ni kina nani hao? Watajeni basi tuwajue sio mnatuletea stori za vijiweni.
 
Hujaona Kuna watu wa kawaida sana wanapata let say 300M Ila wanapiga kelele kuliko hao uliowataja.

Sasa 300m ndo hela ya kutishia mtu? Anaeingiza 300m bado sana. Hapa njombe tu watu wanaingiza huo mpunga, huwezi sema eti ndo mabilionea.

MO ana net worth trilion zaidi ya 5 huko unafananisha na hawa wa 300m
 
niliwahi kusoma sehemu, matajiri halisi, wakubwa duniani na wenye nguvu zaidi ya kifedha huwezi kukuta majina yao forbes.

kuna familia zina ukwasi wa kutisha, ila huwezi kuona majina yao forbes.
Sasa wewe umejuaje Kama Wana huo ukwasi mkubwa Kama hawajioneshi na majina yao hayapo kwenye list.
 
Umenena Vyema.

Mfano mzuri hata hapa kwetu bongo. Acha Tu Kuna Raia Wana Ukwasi Wa Kutisha. Hawataki Kabisa Kujulikana Wala Kuongele
Sasa wewe umewezaje kujua Wana ukwasi mkubwa na hali ya kiwa hawataki kujulikana
 
Sasa wewe umewezaje kujua Wana ukwasi mkubwa na hali ya kiwa hawataki kujulikana

Yani watu wanapenda bla bla bla tu na story za vijiweni bila statistics

Kuna mzee mmoja mtaani hapa ana ghorofa moja na v8 mbili

Bas watu mtaani utaskia uyu mzee ana pesa sana kushinda hata wakina MO, sema hajioneshi tu

Ukiuliza tupe evidence utaskia we kama huamini sepa[emoji23][emoji23]
 
Yani watu wanapenda bla bla bla tu na story za vijiweni bila statistics

Kuna mzee mmoja mtaani hapa ana ghorofa moja na v8 mbili

Bas watu mtaani utaskia uyu mzee ana pesa sana kushinda hata wakina MO, sema hajioneshi tu

Ukiuliza tupe evidence utaskia we kama huamini sepa[emoji23][emoji23]
Ndio maana wanasema Buy Exposure By Any Cost, Vighorofa viiiwili na V8 tatu ulinganishe na mtu mwenye Net Worth ya $ 1 Billions plus.

Utajiri laziima upimwe kwa Data na watu Kama Forbes watu walioamuua kuacha kazi zao ili ku-Deal na Data also kuna source nyingi ila sio huyu tajiiri hajioneshi huyu ana mbuzi 700, ana mafuso kwa mantiki hii kilamtu atasema Kuna tajiri wake hajulikani.
 
Ndio maana wanasema Buy Exposure By Any Cost, Vighorofa viiiwili na V8 tatu ulinganishe na mtu mwenye Net Worth ya $ 1 Billions plus.

Utajiri laziima upimwe kwa Data na watu Kama Forbes watu walioamuua kuacha kazi zao ili ku-Deal na Data also kuna source nyingi ila sio huyu tajiiri hajioneshi huyu ana mbuzi 700, ana mafuso kwa mantiki hii kilamtu atasema Kuna tajiri wake hajulikani.

Halafu kitu kingine watu hawajui maana ya net worth, wao wanaangalia tu uyu ana ghorofa kadhaa ana buses 100

Wakati net worth inakua calculated baada ya kutoa madeni yote inayobakia. Mo wanavosema ana net worth ya 2 bilion USD (kama trilion 5 hivi) haimaanishi mali zake zote ndio thamani hio, it means baada ya liabilities zote ndio imebaki hio (it means ukihesabu mali tu alizonazo inazidi hio)

Sasa hawa jamaa wa mtaani wakiona mtu ana semitrailer 20 bas wanaanza kufananisha na matajiri wa bongo, unakuta uyo zote ni za mkopo na haziingii kwenye net worth
 
Kampuni yenye nguvu zaidi Duniani na kwa bahati mbaya unaweza usiwe unaijua, kwa jina ni BlackRock.

Hadi sasa Kampuni hii ina manage Mali zenye thamani ya Dola Trilioni nane( USD 8 Trillion) (hii ni kwa makadirio sawa na pesa za kitanzaninia Trilioni 18,400/-) moja kwa moja(Directly) na pia ina manage mali zenye thamani isiyppungua Dola Trilioni 25 (USD 25 Trillion)(hii ni kwa makadirio sawa na pesa za kitanzania Trilioni 57,500/-)

Kiufupi Lary Fink kupitia kampuni aliyoianzisha BLACKROCK akiwa na mwenzake Steve Shwarzman (Ingawa yeye kwa sasa sio tena sehemu ya kampuni hiyo baada ya kuuza umiliki wake) ina manage mali nyingi zaid ya GDP za nchi zote duniani kasoro Marekani ya China.

Lary Fink kama Mwenyekiti na Mkurugenzi mtendaji wa BLACKROCK, sidhani kama nitakosea kusema huyu jamaa ameshikilia uchumi wa Dunia mikononi mwake kwa kuwa BLACKROCK ni kati ya wanahisa wakubwa katika makampuni karibia yote makubwa duniani, baadhi yao ikiwemo hii inayojulikana zaidi (Apple, Meta, Amazon..etc)na mengine mengi.
hivi mtoa mada, unajua thamani halisi ya trilioni moja ya kimarekani ukilinganisha na madafu? unajielewa kweli wewe?
 
Back
Top Bottom