LATRA kampuni ya mabasi ya BM inastahihli kufungiwa kwa utapeli

LATRA kampuni ya mabasi ya BM inastahihli kufungiwa kwa utapeli

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
 
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Poleni sanaa ilitakiwa uongozi wa shule kukataa kabla kupanda .....lazima wangeelewana kupunguza nauli....
 
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Malalamiko yako ni sahihi, ila hili ni jukwaa la siasa. Au unafanya kila kitu ni siasa?
 
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Tulia ndio uandike tena
 
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
 
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
😀😀Nyie uvccm hovyo kabisa.
 
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
 

Attachments

  • VID-20240629-WA0008.mp4
    2.8 MB
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Kwann wapande na wameona gari sio ? Mambo mengine ni kuipa serikali mzigo tuh kwa ujinga wetu wenyewe
 
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
LATRA na UWT hakuna tofauti
 
Binafsi huwa sioni tofauti yoyote ya maana kwenye hayo mabasi ya mikoani, kati ya luxury na kawaida, labda tofauti iliyopo ni hayo majina mawili tu.

Umetumia kigezo gani kuita hilo bus luxury? ukubwa wa nauli au kuna kingine?
 
Kufungiwa bila wao kushirikishwa kutoa sababu za kwanini wamefanya hivyo inaweza kuwa sio jambo la kiungwana.
Chamsingi watafutwe na watoe maelezo ya kujitosheleza halafu yatolewe maamzi yenye faida kwa pande zote mbili!
 
Back
Top Bottom