Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA