Wewe unasifia shule kuwa na mabasi kwa ajili ya kubeba wanafunzi wakati wa likizo likizo zenyewe 2 kwa mwaka huo muda mwingine mabas yote hayo yanafanya kazi gani..?Tanzania tabia za kihuni haziwezi kuisha, bora waige ile shule ya KAIZIREGE NA KEMEBOS ya Bukoba wana mabasi yao special kama 50 hivi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi wao mikoani, Anuarite ni shule kubwa ilipaswa wawe na mabasi yao wenyewe kuepuka karaha hizo.
Si mabus yote kuna uhuni, inategemea na wewe unataka nini wakat wa kusafiri..