LATRA kampuni ya mabasi ya BM inastahihli kufungiwa kwa utapeli

LATRA kampuni ya mabasi ya BM inastahihli kufungiwa kwa utapeli

Hii mbona rahisi sana. Hao BM wapigwe faini kiasi kinachotosha kurudishia hao wanafunzi tofauti ya nauli ya luxury na kawaida na chenji inayobaki iingie kwenye fuko la serikali. Hili likifanyika hakuna kampuni myingine tena itakayokuja kufanya huo upuuzi.
 
Hivi hili nalo mnawasubili Latra?

Kama umekata luxury umapandishwa gari ya kawaida waambie wakurudishie pesa iliyozidi.

Bus kabla halijatoka traffic lazima walikaguwe mmewaeleza traffic? Isitoshe namba za Latra pia zipo.

Wabongo tunapenda kulalamika kwa vitu ambavyo viko ndani ya uwezo wetu na tunaweza kuvikomesha.

Mimi sichezewi na watu wa mabasi hata siku moja nimeshawachomesha wakapigwa faini vwawa kwa kupakiza abiria na kuwakalisha chini kwenye vindoo vya lita 10 kwa safari ndefu ya Tunduma Dar, abiria wote waliozidi walishushwa na bus likalimwa faini.
 
Mambo mengine yanaonyesha jinsi watanzania wengi walivyo wanyonge na wajinga, mtu anashindwa kukomaa na hao vijana wa BM wakatisha tiketi tena vijana wadogo kabisa waseme sababu ya kuchukua nauli kwa bus lisilo la hadhi kulingana na tiketi halafu anakuja kusema serikali ifungie bus..hapo hapo BM kuna namba za LATRA hajui, kero zingine zinasababishwa na ujinga wa muhusika..!
 
H
Hivi hili nalo mnawasubili Latra?

Kama umekata luxury umapandishwa gari ya kawaida waambie wakurudishie pesa iliyozidi.

Bus kabla halijatoka traffic lazima walikaguwe mmewaeleza traffic? Isitoshe namba za Latra pia zipo.

Wabongo tunapenda kulalamika kwa vitu ambavyo viko ndani ya uwezo wetu na tunaweza kuvikomesha.

Mimi sichezewi na watu wa mabasi hata siku moja nimeshawachomesha wakapigwa faini vwawa kwa kupakiza abiria na kuwakalisha chini kwenye vindoo vya lita 10 kwa safari ndefu ya Tunduma Dar, abiria wote waliozidi walishushwa na bus likalimwa faini.
Huyo mlalamikaji naona ana matatizo sana, sidhani kama Hilo ni suala la kuleta hadi huku
 
Wewe Sema mmetapeliwa Stendi ya Mbezi hapo wamelizwa wengi. Hapo jamaa wamekusanya pesa ndio wakawakodia gari haha. Kiufupi mmeingizwa mjini na madalali wa mabasi. Chezea Dar wewe.
 
Mambo mengine yanaonyesha jinsi watanzania wengi walivyo wanyonge na wajinga, mtu anashindwa kukomaa na hao vijana wa BM wakatisha tiketi tena vijana wadogo kabisa waseme sababu ya kuchukua nauli kwa bus lisilo la hadhi kulingana na tiketi halafu anakuja kusema serikali ifungie bus..hapo hapo BM kuna namba za LATRA hajui, kero zingine zinasababishwa na ujinga wa muhusika..!
Wakati vijana wa Kenya wapo bize na revolution vijana wa Tanzania wapo bize kupuliza mimoshi ya shisha.
 
Binafsi huwa sioni tofauti yoyote ya maana kwenye hayo mabasi ya mikoani, kati ya luxury na kawaida, labda tofauti iliyopo ni hayo majina mawili tu.

Umetumia kigezo gani kuita hilo bus luxury? ukubwa wa nauli au kuna kingine?
Kama huwa hausafiri huwezi kujuwa class za mabasi.

Luxury haliwezi kufanana na min luxury au ordinary kwa lolote.

Mimi nikisafiri lazima nipande hasa zile 2 by one.

Anayesafiri kwa luxury zile seat hazibananishwi ni zilezile kutoka kiwandani unaweza kunyoosha miguu ukafika safari yako miguu haijavimba wakati hizi za kawaida wanang'owa viti nakuongeza viti huwezi kunyoosha miguu.
 
Una akili ndogo kama bata
Nafikir ww ndio una akili ndogo zaidi, hasa kwenye hoja ya kwanza kwamba serikali imepoteza mapato.
Mimi nikikuuzia kitu cha sh 10000 kwenye risiti ,halafu badala ya kukupa cha 10000 nikakupa cha 5000 hapo serikali imepata au imekosa?
 
Tanzania tabia za kihuni haziwezi kuisha, bora waige ile shule ya KAIZIREGE NA KEMEBOS ya Bukoba wana mabasi yao special kama 50 hivi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi wao mikoani, Anuarite ni shule kubwa ilipaswa wawe na mabasi yao wenyewe kuepuka karaha hizo.
 
Binafsi huwa sioni tofauti yoyote ya maana kwenye hayo mabasi ya mikoani, kati ya luxury na kawaida, labda tofauti iliyopo ni hayo majina mawili tu.

Umetumia kigezo gani kuita hilo bus luxury? ukubwa wa nauli au kuna kingine?
Nauli na huduma nyingine kama choo
 
Tanzania tabia za kihuni haziwezi kuisha, bora waige ile shule ya KAIZIREGE NA KEMEBOS ya Bukoba wana mabasi yao special kama 50 hivi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi wao mikoani, Anuarite ni shule kubwa ilipaswa wawe na mabasi yao wenyewe kuepuka karaha hizo.
Hakika
 
Nafikiri ame-target audience...ni rahisi kuwakuta watoa maamuzi katika jukwaa hili ,tofauti na huko kwingine.
Niliwahi kushauri tuwe na jukwaa la masuala ya barabarani...! Labda muda umefika lijengwe hilo jukwaa
 
Back
Top Bottom