Poleni sanaa ilitakiwa uongozi wa shule kukataa kabla kupanda .....lazima wangeelewana kupunguza nauli....Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Malalamiko yako ni sahihi, ila hili ni jukwaa la siasa. Au unafanya kila kitu ni siasa?Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Tulia ndio uandike tenaTunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Nafikiri ame-target audience...ni rahisi kuwakuta watoa maamuzi katika jukwaa hili ,tofauti na huko kwingine.Malalamiko yako ni sahihi, ila hili ni jukwaa la siasa. Au unafanya kila kitu ni siasa?
Uko sahihiNafikiri ame-target audience...ni rahisi kuwakuta watoa maamuzi katika jukwaa hili ,tofauti na huko kwingine.
Una akili ndogo kama bataMalalamiko yako ni sahihi, ila hili ni jukwaa la siasa. Au unafanya kila kitu ni siasa?
😀😀Nyie uvccm hovyo kabisa.Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Tunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Kwann wapande na wameona gari sio ? Mambo mengine ni kuipa serikali mzigo tuh kwa ujinga wetu wenyeweTunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
Afu kosa lenyewe sasa .c wangegoma kupanda wachukue ela zao wapande KilimanjaroKuifungia kabisa?! Hebu fikiria hiyo Kampuni inatoa Ajira ngapi kwa Watanzania wenzetu LATRA itumie njia za kupiga Faini zaidi.
Sio kufungia Kampuni.
LATRA na UWT hakuna tofautiTunaomba mamlaka ya usafiri LATRA iifunge kampuni ya mabasi ya BM yandayo Dar -Kilimanjaro/Arusha kutokana na udangajifu kwenye nauli.
Wanafunzi wa shule ya anwarite ambao walikuwa wanatakiwa kusafiri leo kwa mabasi aina ya luxury wametapeliwa kwa kulazimishwa kusafiri kwa kutumia mabasi ya daraja la kawaida.
Tunaombeni mamlaka ichukue hatua mara moja kwani huu ni utapeli wa kupindukia na utakuwa na madhara yafutayo:
1: Serikali itakuwa imekosa mapato kwa maana gharama itakuyokuwa kwenye tiketi sio gharama ililipwa na mtoa nauli.
2: Kampuni ya BM inashindwa kutumiza vigezo vilivyowekwa na LATRA
GoodKuifungia kabisa?! Hebu fikiria hiyo Kampuni inatoa Ajira ngapi kwa Watanzania wenzetu LATRA itumie njia za kupiga Faini zaidi.
Sio kufungia Kampuni.