Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Sipendi miliki vitu vingi vya ovyo au popularJana kelele zilikuwa nyingi Sana hasa twitter nahisi latra wameona Aibu ndiyo maana chuma bado zipo barabarani alafu kumbuka katarama ni tajiri wa malori na vituo vya mafuta kwahiyo figisu za kishamba anaziweza..
Leo zipo road kama kawaida kama halijatokea kitu, na kama hii kampuni ikileta bus zingine mbili Hali itakuwa mbaya Kwa upande wa bus za ally's
kinalia kuanzia km 1 hadi km ya 600!, sioni mantiki lbd kama kingekuwa kinazima au kinasababisha extremely consuption ya mafuta ili ma boss wakokae na madereva kutokukimbia speed kubana mafutaHivi kikilia ndio spidi imezd au mana nikisafiri nasikia kinalia ila suka hana habari mwendo mchibuyu 100+
Hapa ndipo tunapata picha kuwa biashara nyingi za wafanyabiashara wakubwa zinaendeshwa Kwa uchawi na majunguAllys na wenzake badala wafuate chuma wanaleta fitna...hata hivyo kelele zimesaidia chuma ziko road zinawakanda kama kawa..!
Allys Ipo WapiKama kawaida chuma zipo road zinatafuta manyoni kwa muda huu zote mbili
Nimepanda Sana Allys Ikifika 100 Utajua Maana Kishindo MnoKutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.
Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.
Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.
Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda
Mimi nilikua sijawahi kuzisikia , ndio nimezisikia leo.Latra wametumika kama chombo cha Matangazo bila kujijua
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Plus kuyumba sana road.Nimepanda Sana Allys Ikifika 100 Utajua Maana Kishindo Mno
Imekuwa kama Basata kwa wasaniiLatra wametumika kama chombo cha Matangazo bila kujijua
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Scania haziongopi stability.Nimepanda katarama Dar -Mwz tulifika Nyegezi saa nne kamili usiku,gari ipo comfortable sana.
Jiulize kwanini hakuna ngozi nyeusi kwenye Ngano, Sukari, Gas, MafutaHapa ndipo tunapata picha kuwa biashara nyingi za wafanyabiashara wakubwa zinaendeshwa Kwa uchawi na majungu
Katarama ataanza tafutiwa ajali au kupondwa mawe wasingizie sababu ya mwendo.View attachment 2536094
Hapa Ally's ana kazi kubwa ,hata kiuchawi uyu katarama ni balaa
Hatari sanaJiulize kwanini hakuna ngozi nyeusi kwenye Ngano, Sukari, Gas, Mafuta
Kutoka mwanza Leo Ally's anaitafuta kwa tabu sana katarama bila mafanikio.
Kutoka Dar Ally's katoka Zaid ya 40minutes mbele ya katarama Sasa Ila kwa habari zisizo rasmi pale msamvu shughuli ilikuwa ishaisha.
Scania Kama za katarama au superfeo zile zinamudu 120km/h bila shida yoyote alafu hata abiria hawashuki Ila kwa mchina akifika 100km/h unaona Kama bus unataka kupaa.
Somo zuri kutoka kwa KATARAMA wekeza vizuri ili iwe mshindani mzuri zile chuma zinapiga Nenda🔁Geuka lakin bado hazishikiki. Mfanyie hvyo mchina Kama pale shelui hajakugomea kupanda