Meneja wa katarama mwanza huyoRudia tena hii comment yako boss
Inabidi ifanyiwe lamination ikae pale juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meneja wa katarama mwanza huyoRudia tena hii comment yako boss
Inabidi ifanyiwe lamination ikae pale juu
Mvunja nchi ni mwananchi, huwezi kumchukulia hatua Katarama bila kumuadhibu fundi anayechokonoa huo mfumo ambaye most likely ni mtumishi wa huko kwenye mfumoMamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imesitisha leseni ya usafarishaji kwa mabasi ya kampuni ya KATARAMA Luxury baada ya uchunguzi kubaini wamekuwa wakichezea mifumo ya udhibiti mwendo kwenye mabasi yao (VTS).
Hiyo kitu sasa ndio LLatra hawaitaki, inawaumaNilisafiri na katarama toka mwanza to dar usiku! Ni full kuenjoy, full kiyoyozi, full wifi huchoki hata kidogo!
Kwa hiyo Latra wanataka abiria tupate tabu?Hiyo kitu sasa ndio LLatra hawaitaki, inawauma
Yani taasis inachukua hatua nyie mnsema ni vita ya biashara, mpaka watu wafe ndio muanze kusema serikali imelala!?Ally's na Michina yake Ana hofu ya kupokwa abiria wake wote
Ndiyo mkuu.Kwa hiyo Latra wanataka abiria tupate tabu?
Kweli nimeamini bongo bahati mbayaNdiyo mkuu.
Kwanini mkuuKweli nimeamini bongo bahati mbaya
Sasa kama latra hawataki tupate uroda kwenye mabasi mazuri kuna nini hapo.K
Kwanini mkuu
Lawama zote kwa ccm. Wanasiasa hawataki raia wa daraja la kati na chini tuishi vizuri.Sasa kama latra hawataki tupate uroda kwenye mabasi mazuri kuna nini hapo.
Manake ww umeniambia latra hawapendi mabasi mazuri. Kama hilo katarama
Watutamaliza hawa wasipodhibitiwa.Mamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imesitisha leseni ya usafarishaji kwa mabasi ya kampuni ya KATARAMA Luxury baada ya uchunguzi kubaini wamekuwa wakichezea mifumo ya udhibiti mwendo kwenye mabasi yao (VTS).
Aidha LATRA ametoa onyo kali kwa makampuni manne ya mabasi ambayo yamekuwa yakikiuka taratibu za mabasi kusafirI usiku na kusababisha ajali za mara kwa mara akitoa wiki moja kwa uongozi wa mabasi hayo kuongeza usimamizi wa mabasi yao.
KATARAMA ameleta mashine za uhakika za iriza naona vita ya uchumi imeanza tena na ALLYS STAR