LATRA yasitisha leseni ya mabasi ya Katarama

LATRA yasitisha leseni ya mabasi ya Katarama

Mamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imesitisha leseni ya usafarishaji kwa mabasi ya kampuni ya KATARAMA Luxury baada ya uchunguzi kubaini wamekuwa wakichezea mifumo ya udhibiti mwendo kwenye mabasi yao (VTS).

Aidha LATRA ametoa onyo kali kwa makampuni manne ya mabasi ambayo yamekuwa yakikiuka taratibu za mabasi kusafirI usiku na kusababisha ajali za mara kwa mara akitoa wiki moja kwa uongozi wa mabasi hayo kuongeza usimamizi wa mabasi yao.

KATARAMA ameleta mashine za uhakika za iriza naona vita ya uchumi imeanza tena na ALLYS STAR
Hachana na kumcomper KATARAMA na Ally's Star ✴️, Ally's ni Kampuni inayojitambua na ni Kampuni kubwa sana, punguzeni ushindani wa hizi kampuni kusudi tuweze kupata huduma isiyokuwa na Changamoto za barabarani hasa nyakati za usiku, Kila kampuni aboreshe huduma zake Kwa wateja wake, na Kila kampuni apewe timetable yake....
Lkn mwisho wa siku Mkubwa ni mkubwa tu.
 
New force na dada yake yameachwa anafungiwa Katarama, halafu kirahisi tu MTU anasema uchawi haupo???
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Yafungiwe makampuni yote yaliyochezea vidhibiti mwendo sio katarama peke yake, na sije mkatujibu kwamba mmemtolea huyu mfano
 
Mamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imesitisha leseni ya usafarishaji kwa mabasi ya kampuni ya KATARAMA Luxury baada ya uchunguzi kubaini wamekuwa wakichezea mifumo ya udhibiti mwendo kwenye mabasi yao (VTS).

Aidha LATRA ametoa onyo kali kwa makampuni manne ya mabasi ambayo yamekuwa yakikiuka taratibu za mabasi kusafirI usiku na kusababisha ajali za mara kwa mara akitoa wiki moja kwa uongozi wa mabasi hayo kuongeza usimamizi wa mabasi yao.

KATARAMA ameleta mashine za uhakika za iriza naona vita ya uchumi imeanza tena na ALLYS STAR
Kufanya biashara Nchi hii ni uhani sanaaa

Jamaa kajipigaaa katafuta vyuma.vyenye maana den

Anatolia mtuu mmoja asijua hata bei ya tairi anakufungii

Umewai kusikia Katarama amepata ajalii

Badala ya.kufungia wanaokula mizinga na kuua watuu mtu ambaye hajawai hata gonga kinyonga anafungiwa

Life isn't fair kabisaa. ALLY STAA KAUWA WATU WANGAPI HADI LEO KIPINDI CHA MWAKA HUU.
na wengine kibao
 
Kufanya biashara Nchi hii ni uhani sanaaa

Jamaa kajipigaaa katafuta vyuma.vyenye maana den

Anatolia mtuu mmoja asijua hata bei ya tairi anakufungii

Umewai kusikia Katarama amepata ajalii

Badala ya.kufungia wanaokula mizinga na kuua watuu mtu ambaye hajawai hata gonga kinyonga anafungiwa

Life isn't fair kabisaa. ALLY STAA KAUWA WATU WANGAPI HADI LEO KIPINDI CHA MWAKA HUU.
na wengine kibao
Wanazi

Allys anahusikaje hapo!??
 
Adhabu mbadala hamna?Si wampige hata faini kuliko kuzuia watu kupata mkate wao wa kila siku, madereva,makondakta na wafanyakazi wengine wa kampuni hii watakula wapi?
 
Kufanya biashara Nchi hii ni uhani sanaaa

Jamaa kajipigaaa katafuta vyuma.vyenye maana den

Anatolia mtuu mmoja asijua hata bei ya tairi anakufungii

Umewai kusikia Katarama amepata ajalii

Badala ya.kufungia wanaokula mizinga na kuua watuu mtu ambaye hajawai hata gonga kinyonga anafungiwa

Life isn't fair kabisaa. ALLY STAA KAUWA WATU WANGAPI HADI LEO KIPINDI CHA MWAKA HUU.
na wengine kibao
Kupata ajali na kutofuata utaratibu ni vitu tofauti.Tujifunze ustarabu na kuheshimu taratibu tulizojiwekea.Wewe unaambiwa kampuni imechezea mfumo wewe unaleta mambo ya ajali na porojo zingine za kuswahiili.sasa wewe na hao Latra nani anajua zaidi
 
Hizo ni fitina tu
umeangalia taarifa waliyoitoa LATRA kupitia mitandao yao ya kijamii kama Instagram na ukajiridhisha kama ni fitina au unajisikia kuandika tu??
LATRA wapo sahihi sana kwa jinsi nilivyosikiliza maelezo ya mkurugenzi mkuu.
 
Kupata ajali na kutofuata utaratibu ni vitu tofauti.Tujifunze ustarabu na kuheshimu taratibu tulizojiwekea.Wewe unaambiwa kampuni imechezea mfumo wewe unaleta mambo ya ajali na porojo zingine za kuswahiili.sasa wewe na hao Latra nani anajua zaidi
Sikuwaza kukujibuu ,jibu hili swali wewe unaushaidi gani kwamba wamechezea mfumo ,pili madhara yaliotokea kwa kuchezea mfumo ni yapi maana tungesikia na kuyaonaa ,kwanini ambao hakuchukuliwa hatua kama hizi tumeona madhara za kupoteza ndugu zetuu wengi ,Katarama huu ni mwaka wa tatu anafanya biashara hatujasikia hata ajali ya kuku

ni vizr sana msipurukupee kujibu ,tunaenda kwa uhalisiaaaaa
 
Allys ye mwenyewe ana overspeed sana tu...toka Katarama aje na hizo G7 plus kuongeza Irizar 2 ,kukaa mbele kwa Allysimekua mtihani sana.
Ila huyo Mkurugenzi Laurian M. KATARAMA atayamaliza.
 
Back
Top Bottom