kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kuna watu mna roho mbaya sana ila uzuri soon atarejea maana maelekezo yamesha tolewa kwa amriKama ni fitina Kwa nini na yeye asifanye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu mna roho mbaya sana ila uzuri soon atarejea maana maelekezo yamesha tolewa kwa amriKama ni fitina Kwa nini na yeye asifanye?
Mamlaka ya Udhibiti usafiri Ardhini LATRA imesitisha leseni ya usafarishaji kwa mabasi ya kampuni ya KATARAMA Luxury baada ya uchunguzi kubaini wamekuwa wakichezea mifumo ya udhibiti mwendo kwenye mabasi yao (VTS).
Aidha LATRA ametoa onyo kali kwa makampuni manne ya mabasi ambayo yamekuwa yakikiuka taratibu za mabasi kusafirI usiku na kusababisha ajali za mara kwa mara akitoa wiki moja kwa uongozi wa mabasi hayo kuongeza usimamizi wa mabasi yao.
KATARAMA ameleta mashine za uhakika za iriza naona vita ya uchumi imeanza tena na ALLYS STAR.
Soma Pia: Napinga LATRA kuwafungia KATARAMA kwa visingizio cha kuchezea kidhibiti mwendo