THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Shida ni mfumo KRISTO,umezalisha wasomi wengi ambao kikubwa wanachokijua ni wizi na ufisadi,tutapeleka muswada wa marekebisho ya Sheria bungeni ili tupate mandate ya ruhusa ya shoot to kill,ili tumalize Moja kwa Moja hili balaa.Hii nchi inahitaji mtu katili kuweka mambo sawa.
Wakija makatili mnawaita madikteta..
Haya sasa wapole mnasema tena hawafai.
Hamueleweki nini mnataka.
Sent using Jamii Forums mobile app