LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni


Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.

Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania .
Asante kwa taarifa na ushauri.

Naona serikali ikimalizana na mabasi itazigeukia bajaji, toyo na bodaboda.
 
dunia iko kwenye digital ticket hata za mechi zinauzzwa online sembuse za basi
 
Kama watu sasa wanalipa bili za maji na umeme kwa simu, watashindwa nauli, acha wamkate middle man!
 
Hahahaaa hii techology unayo ipigia kelele huwa na double standard maana kwenye mambo ya msingi sana na yenye tija huwa siwaoni mkisema twende na technology mf. Kupiga kura, kabadili katiba iendane na usasa nk huko hakuna technology.
Technology inaihushanisha vp na katiba?Unataka katiba iwe digitalized au unatakaje?km kupiga kura si umeona kuna unadikishaji wa kutumia alama za vidole?huoni kua tumepiga hatua ktk eneo hilo?how further unataka twende ktk issue ya kupiga kura?tatzo la watanzania kila kitu mnaingiza siasa, now days hatuwezi kuchambua hoja kwa uhalisia bila kuingiza mambo yenu ya siasa na uvyama vyama, ht km issue haihusiani na siasa you will manage to find an angle ilimradi tu mchomekee siasa zenu, very sad indeed.
 

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao, vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote

Tahadhari: kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo, maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania
Sasa wewe unatetea ujima, kwani nchi za wenzetu walivyo weka hiyo systemn ni wajinga ?? Au nikuulize nini ilikuwa dhana ya walio develop hiyo system za kununua online tickets etc
 
Sasa wewe unatetea ujima, kwani nchi za wenzetu walivyo weka hiyo systemn ni wajinga ?? Au nikuulize nini ilikuwa dhana ya walio develop hiyo system za kununua online tickets etc
nisome tena
 

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao, vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote

Tahadhari: kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo, maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania
Haya mambo ni mazuri kwa sababu yanaongeza wigo wa ukusanyaji kodi lakini Kasoro zake ni kama hivi:
1.Ushirikishwaji wa stakeholders na kutoa Elimu ya kutosha kwa wote-Mlaji na agent wa kodi.
2.Target au kiasi kinachotegemewa kukusanywa kutoka kwenye mfumo huo na Tija ya huo mfumo iwekwe wazi.Mfano kwenye mafuta tunajua kuna pesa Ya REA so watu wako Happy kulipa kwa sababu wanajua tija zilizoko.
3.Pilot,TRIALS.
Mfumo mpya upate muda wa majaribio nk nk
 

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao, vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote

Tahadhari: kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo, maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania
Sisi wapiga debe tuanze kujifunza kukaba watu sasa
 
Ambayo hiyo kod inafanyia nini?
Kodi inajenga, kurekebisha na kupanua Barabara, kodi inajenga hospitali, kodi inanunua madawa, kodi inajenga madaraja, kodi inalipa mishahara ya madaktari, walimu, na watumishi mbalimbali wa serikali, kodi inajenga na kupanua stendi n. k
 
Moja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.
Hii issue ipo toka magufuli kaingia madarakani sema hao.wadau ndio waliokuwa wanaichelewesha kwa kutaka mabadiliko kadhaa kwenye mfumo. Kiufupi wameshirikishwa kila hatua....
 
Back
Top Bottom