Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili nakuunga mkono, kumba ukiamua una akiliNimemuheshimu zaidi kwa hili. Hachagui kazi. Safi sana kijana.
Akili hata bata anayo.Kwa hili nakuunga mkono, kumba ukiamua una akili
Hili watu wengi hawalijui. Wanadhani wcb pana utajiri. Wamesahau kuwa ni show off tu za kwenye mitandao na matv. Game ya bongo ni ngumu lazima ujiongezeTena mwandishi wa uzi kaandika utafikiri hapo wcb ni BOT dadeq kumbe njaa tu maisha ya kwenye tv na instagram yanawadanganya
Mawazo ya kimasikini hayaHata kama ni utafutaji sio kihivyo,haya mambo mengine tuachieni sisi tusiokuwa na majina mjini,vijana wa Madale mkipiga shoo moja mnavuta milioni kadhaa sasa hizi njaa za elfu 7 mara elfu 4 waachieni wakina Abdu Kiba.
Juzi nilikuwa natoka Posta naelekea external nikaita UBER laulah nikashituka kuja dereva ni mtu ambaye namfahamu,alikuwa Lavalava wa WCB.
Diamond sijui hili unalijua au ni njia fulani ya kuongezea mapato hapo lebo.
Mwanaume kujituma lkn wakuu ni sawa kwa msanii mkubwa kama huyu wa WCB kupiga side hustle ?
Nikweli mkuu wadau hawalitambui hilo yani wale jamaa wanatumika tu na wadau walio nyuma ya pazia alafu sisi tunaona mafanikio ni yawasanii kumbe wanatafutia wadau vya.Hili watu wengi hawalijui. Wanadhani wcb pana utajiri. Wamesahau kuwa ni show off tu za kwenye mitandao na matv. Game ya bongo ni ngumu lazima ujiongeze
Hata biblia inasema pesa ndio jawabu la kila kitu,hivyo kivyovyote vile pesa lazma itafute... Hata kwa kuiba na kukaba.
Ya nabii titoNdugu unasoma bible ya wapi wew?