thA goD
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 1,943
- 1,851
Hivi hii kauli mnaihalalisha vipi? Kauli nyingne zinadumaza uwezo wa kufikiri,Ngoja niwahi siti Ila mwanaume hachagui kazi
Nasema hivi sio mwanaume tu,ila mtu yeyote anao Uhuru wa kuchagua kazi.
Swali chonganishi,nikikuajiri kunitongozea kwa bi mkubwa ako halafu nikulipe,utafanya kisa nayo kazi?
Mods nimeongea kum-challenge kijana but both is so serious walah