😁😁Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Inaelekea wewe ni shabiki wa vyombo vya habari vya magharibi, ambavyo kwenye hii vita viko biased kuliko kawaida!Free
Chanzo cha hiyo habari kinajulikana mrengo wake, ni vigumu kuaminika.
Kwanini huyo Marekani asiidhoofishe kwanza China ambaye ni mpinzani wake mkubwa kwa sasa na tajiri kuliko Urusi ?
🤣🤣🤒Kwa mtindo huu bora kichwa cha mleta mada kibaki kuwa kabati la kufichia ulimi
Kajitekenya kacheka mwenyewe 🤭Kwa mtindo huu bora kichwa cha mleta mada kibaki kuwa kabati la kufichia ulimi
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Viongozi wa Russia ni kama watumia mihadarati.
Mkuu, you are better than that!
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Sputnik si ni shirika la serikali ya Urusi? Yani lini TBC iipinge serikali ya Tanzania.Mtoa mada ebu soma hiyo habari labda itakusaidia kujua context ya kauli ya Lavrov. Nina assume unajua hiyo lugha.
Western Officials Admitted Involvement in Ukraine Conflict, Says Serbian President
Serbian President Aleksandar Vucic said Western officials, in conversations with him, admitted involvement in the conflict in Ukraine and increasing pressure on Serbia due to Belgrade's refusal to support anti-Russian sanctions.sputniknews.com
Usalama gani?....watoto wa masikini wanakufa wao wanakula burger tu....hii vita haina justification....ifike mahali binadamu tumuogope Mungu.Pole mtoa mada, nadhani hiyo kauli ya kiusalama imezidi uwezo wako wa kufikiri kwa mbaaaali sana.
Kwanini Urusi wasiivamie Marekani ambayo wanasema ndio iliwaanzishia vita? Unataka kumaanisha Urusi ni matahahira wanaanzishiwa vita na huyu, wanaenda kumpiga yule.Ebu soma hiyo habari nimeweka hapo juu ili uelewe context ya vita ya Ukraine. Kwa ufupi, vita imepikwa na marekani kwa lengo la kutaka kuidhoofisha urusi ili waweze kuitawala dunia kwa urahisi kupitia kitu kinaitwa New World Order! Urusi wameingia vitani ili kujihami!
Uko tayari kwa vita vya nuklia?Kwanini Urusi wasiivamie Marekani ambayo wanasema ndio iliwaanzishia vita?
Huo ndio ukweli...ni pre emptive strike...Warusi weusi wanakuambia Urusi imefanya 'pre-emptive strike'..... hatari sana hawa jamaa
Bukyanagandi Yoda dudus 1954 Nyamizi TUJITEGEMEE
Kichuguu
Hakuna mtu mwenye akili atatumia vita kama ndio njia sahihi ya kutatua matatizo baina ya Nchi mbili...kati ya vita ya kijinga na hii ni moja wapo kama zile za USA na ukaguzi wa siraha za Nyuklia..Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!