Nimegundua pia kuwa unadhani kuwa kwakuwa ni wajumbe wa G20 basi hawana hila dhidi m
Ingekuwa anahitaji mada pekee ndiyo izungumzwe asingeongeza maneno yake.
Alichokiongeza kwa maana ya utashi wake ndicho nilichokiongelea. Na km wewe pia ni km yy ni bora ukawa mpenzi mtizamaji wa hiyo vita.
π€£π€£π€£Unazidi kujiaibisha, mimi nimetoa tafsiri gani?? Mimi nimekiuliza hicho kicheko unakitafiri nini?? Wewe ukajibu mwandishi ameshatafsiri. Nikakupa hongera kwa hilo.Katika wajinga wewe si ni babalao?
Wewe uwe na tafsiri bora kuliko ya mwandishi? Wewe hiyo si ni incurable psychiatric case? π€£π€£π€£
Kwahiyo kuwepo kwa mchina ndio kuna justify hoja yako. Kwanini unashindwa kutumia akili yako ipasavyo. Sio kila mchina ni mchinaWaliijua hotuba yake? Kwani wao ni mizuka? Zaidi sana mchina hadi waalikwa waliokuwapo wakiwamo waandishi walimcheka tena Kwa kumzoda.
Mkuu Ungejikita kwenye udaku wa kina Feitoto, ugali kwa sukari, mambo serious kama haya achana nayo
Toka lini BBC wakaiongelea vizuri Russia??Hayo ya kwako bako nayo tu humo Kwa mtogore. Tuache kuwasikiliza BBC waliokuwa kwenye tukio tukisikilize mbechile wewe? TBC tu hatuna habari naye uje kuwa wewe jombi? Kwa kutuona je vile?
π€£π€£π€£Unazidi kujiaibisha, mimi nimetoa tafsiri gani?? Mimi nimekiuliza hicho kicheko unakitafiri nini?? Wewe ukajibu mwandishi ameshatafsiri. Nikakupa hongera kwa hilo.
Kinachonisikitisha umeshindwa kutumia akili yako ipasavyo.
youβre are commie fool, idiotPole mtoa mada, nadhani hiyo kauli ya kiusalama imezidi uwezo wako wa kufikiri kwa mbaaaali sana.
Toka lini BBC wakaiongelea vizuri Russia??
Una IQ ya kuku wewe, unaamini hii vita imepikwa na marekani? Kwa nini sasa wasiwapige Marekani? Unaona sasa wanvyopigwa? Kuzima vota wanashindwa na wanazidi kufaEbu soma hiyo habari nimeweka hapo juu ili uelewe context ya vita ya Ukraine. Kwa ufupi, vita imepikwa na marekani kwa lengo la kutaka kuidhoofisha urusi ili waweze kuitawala dunia kwa urahisi kupitia kitu kinaitwa New World Order! Urusi wameingia vitani ili kujihami!
Huwezi kuelewa issue/mambo kama tayari umeshaegemea upande mmoja. Hivi uhasama wa Cuba na USA ulisababishwa na nini? Hivi Russia asingekaa na USA kuyamaliza unafikilia nini kingewakuta Cuba?
Kwa mahantiki hiyo tatizo la Ukrane na Russia linafanana sana na tatizo la USA na Cuba. Russia alilalamika sana mwenendo wa USA pale Ukraine lakini USA walimdharau. Sasa hapo ulitaka Russia wafanye nini??
Ngojea uone Putin Sijui atahamia wapi, siyo muda mrefu!Ebu soma hiyo habari nimeweka hapo juu ili uelewe context ya vita ya Ukraine. Kwa ufupi, vita imepikwa na marekani kwa lengo la kutaka kuidhoofisha urusi ili waweze kuitawala dunia kwa urahisi kupitia kitu kinaitwa New World Order! Urusi wameingia vitani ili kujihami!
Elewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Liambie hili lidada pwaaaElewa Kiingereza wewe si kurukia rukia mambo tu!
Waziri wa Russia anasema vita iliyoanzishwa kwa kuitumia Ukraine!
Huyo Waziri ana akili kubwa sana usidhani kwa hicho kichwa chako cha kufugia nywele utamuelewa!
Una IQ ya kuku wewe, unaamini hii vita imepikwa na marekani? Kwa nini sasa wasiwapige Marekani? Unaona sasa wanvyopigwa? Kuzima vota wanashindwa na wanazidi kufa
π€£π€£π€£Unazidi kujiaibisha, mimi nimetoa tafsiri gani?? Mimi nimekiuliza hicho kicheko unakitafiri nini?? Wewe ukajibu mwandishi ameshatafsiri. Nikakupa hongera kwa hilo.
Kinachonisikitisha umeshindwa kutumia akili yako ipasavyo.
Serikali ya Urusi inajua imefanya blunder kiasi cha kuchukiza baadhi ya warusi hasa wasiopenda serikali kremlin hivyo inapambana kuiaminisha Dunia kua insonewa.
Wakati ukweli ni kuwa hakukua na sababu ya maana ya vita hivi.Kama issue ni NATO kuiteka Ukraine kunaifanya Urusi kuifuata NATO kwa kuwa kusini Maghabiri Kuna Romania NATO member akitenganishwa na Moldova,Magharibi Kuna Poland NATO member akitenganishwa na Ukraine na kusini Kuna Georgia hasimu wa Urusi baada ya uvamizi wa 2008.
ππ kumbe umejua kuwa wewe ni mbuzi wa buzaNimekuwa busy sana mkuu. Sasa ndiyo nikapata kamuda ka kugawa dozi. Kumbe mtu ukipotea kuna mbuzi au hata kuku tokea Buza zinaweza kujiaminiasha zimeshinda. π€£π€£