Basi tuliaHuna lolote wewe. Unataka mimi nikae kwenye kochi nyumbani halafu nije na jina la mkurugenzi wa Tanesco. Huu ujinga ndiyo unafanya shirika lifeli. Badala ya kutaga wapatikane kitaalam wewe unaleta longolongo zako hapa.
Sadly hoja ya tanesco nayo umeipelekaUpo huru na fikra zako ndiyo Uislam huo, hautakiwi uwe kama ndondocha wa kubeba fikra za watu tu,
Ni muislam, atamponda vipi?Nenda kwenye point, Makamba kaiua TANESCO kwa ufisadi wake
Hatari snNi muislam, atamponda vipi?
Muslims do no wrong.
Ile software walionunua na January ya billions 70 kutoka kuwa wahindi ingeisaidiaje TANESCO ili hali shirika halikuwa na matatizo kwenye distribution?Yule jamaa alikuwa na ufahamu mzuri wa namna ya kufanya biashara na ndiko alipokuwa analipeleka shirika kuanzia Kwa kitendo cha kuiomba serikali ifute deni sugu la shirika ni hatua nzuri sana ya kujiendesha Kwa huduma Bora na nzuri , shida ilikuja watu waliompigia pande walitaka wafanye Kwa maslahi zaidi. Maharage amefanya Wahandisi wengi Tanesco wanajiendeleza kielimu Kwa hatua ya master's baada ya kuona shirika lilipaswa kuwa na wataalamu walio na tija ya kuleta mabadiliko na si vilaza waliojaa majungu kila Kona za ofisi.
Lawama zote ni Kwa Raisi SSH anajivua katika kuwajibika dhidi ya usimamizi imara wa Tanesco.
Mfumo wa kukodi uliogharimu USD 30mNenda kwenye point, Makamba kaiua TANESCO kwa ufisadi wake
Mbona makamba alipokuwepo alihusika kwenye kila jambo, kila mpango na alikuwa kama msemaji wao kumkingia kifua mabeans? Mbona wakati wa Dowans na richmonduli hatukusikia msajili kahusishwa na kuwajibishwa? Siku zote ni katibu mkuu na waziri. Msitumike kirahisi hivyoBiteko tutamuonea bure, hana zaidi ya kwenda ku trouble shoot na kufanya mapendekezo.
Wenye dhamana ya mashirikaya umaa ni Mkumbo na Mchechu. Tusihau hilo. Waziri wa Nishtati hana ujanja kwenye mashirika ya umma.
Mashirika ya umma hayana ufanisi BONGO tu lakini mbona Nchi nyingine yana ufanisi!! Unafahamu kuwa ETHIOPIAN AIRLINES ni shirika la umma?Hakuna cha nani wala nani. Mashirika yote ya umma toka awamu ya kwanza hayana ufanisi. Unafikiri kwanini yalibinafsishwa?
You are making one wrong assumption kuwa GENERATION, DISTRIBUTION NA TRANSMISSION zitakuwa owned by different entities!! Hiyo model yako ni hiyo madalali walioko planning commission wanaipigia chepuo ili wauze na kupata commission yao!!Kenya waligawa shirka la umeme na sasa wanataka kuliunganisha tena.
Kwa Tanzania kwa sasa kugawa shirika sio akili wala maamuzi ya busara.
Fikiria hivi.
1. Generation wakizalisha umeme, watauzia transmission.
2. Transmission watauliza distribution kwa profit margin.
3. Distribution watauzia wateja wadogo wadogo kwa profit margin.
Mwisho mteja ndie atabeba mzigo wote wa hizo department.
Ndio maana nchi kama Kenya gharama za umeme ziko juu sana kwa sababu kama hizo.
Je watanzania wataweza kubeba gharama halisi za umeme?
Kumbuka Tanesco wameshasema mara nyingi kwamba bei yao ya umeme haiko halisi, ni bei ya chini kuliko uhalisia.
Hilo jambo limewashimda Kenya.
Nfahamu sana, sheria zao huko wanauwana kimya kimya mtu akifanya ufisadi, hafikishwi mahakamani, mnasikia tu fulani hatunae. Bila kutangazwa bila kujulikana kafanya nini, watu wanamfungia kazi.Mashirika ya umma hayana ufanisi BONGO tu lakini mbona Nchi nyingine yana ufanisi!! Unafahamu kuwa ETHIOPIAN AIRLINES ni shirika la umma?
Kamanda kweli unaafiki mtu atumie billoni 70 za walala hoi na bado watu hawapati umeme na wahusika bado wanalamba asali?Nfahamu sana, sheria zao huko wanauwana kimya kimya mtu akifanya ufisadi, hafikishwi mahakamani, mnasikia tu fulani hatunae. Bila kutangazwa bila kujulikana kafanya nini, watu wanamfungia kazi.
Kuna kufanya ufisadi tena hapo? Thubutu.
CCM INACHUKUA SANA FEDHA ZA TANESCO KWA SHUGHULI ZA CHAMABila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lililoshindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.
Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.
Hao mabwana wakubwa wawili wameshindwa kuyaona yaliopo Tanesco> Wameshindwa kuelewa kuwa Tanesco hakuna "reforms" zitakazofanyika na kuwaokowa Watanzania na janga la umeme?
Sababu kila namna zitatolewa, lawama zitapelekwa kila mahala, sababu za kujitetea zinazoingia akilini hatzitokosa kuwepo, lakini ukweli ni kuwa Tanesco limekuwa ni shirika kubwa sana lisilo na faida (Huge White Elephant".
Ushauri na nyinyi kifanyike hatraa sana? Hakuna zaidi ya kulikata kata shirika na kulipunguza ukubwa wake.
Tanesco ianze kubomolewa kimikoa. Kila mkowa uwe na shirika lake la Umeme la kujitegemea, tuuziane umeme kimkoa. Simple and straight foreward solution.
Tuanza na mkoa mmoja mmoja hataka sana. Kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.
Nje ya hapo, hata mabwawa yote, pamoja na bwawa jopya la Steigler, yazalishe umeme kwa 100% pamoja na vinu vyote vya Kinyerezi na IPtL na majenereta ya kizamani yazalishe, bado tatizo litakuwepo na pengone litazidi.
Kila mkoa ujipatie shirika lake la umeme na watendaji wake, ndiyo njia pekee iyayowezesha "monitoring and evaluation" ya ufanisi. Nje ya hapo tutapigana porojo kila siku.
Kitila na mchehu na ujanja wenu wote wa maneno, mmeshindwaa kuliona hilo? Au mmefungwa mikono? Mnalo la kujibu kwa Watanzania. Au mtueleze wazi kuwa TANESCO haipo chini yenu?
Kuilaumu serikali yote na kuilaumu tanesco yenyewe, ambayo haijuwi la kufanya utabaki kuwa ni ujinga tu. Wenye dhamana ya mashirika ya umma kwa sas ni hao watu wawili. Waje watueleze wamefanya, wanafanya nini kuhusu tatizo la daima la TANESCO?
Kuendelea kulilea shirika la TANESCO, unakuwa ni uongozi wa zima moto, utazimwa moto unapowaka lakini baada ya muda unaanza tena. Ukweli ni kuwa Reforms zimeshindikana Tanesco, tuingie kwenye Rebuilding ya Tanesco. Uta Rebuild bila kubomowa? Mawee.
Siyo kweli, CCM ina vyanzo vingi vya pesa kuliko unavyofikiri.CCM INACHUKUA SANA FEDHA ZA TANESCO KWA SHUGHULI ZA CHAMA
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Jazakillahu khyra hapa umenena mama mtuBila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lililoshindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.
Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.
Hao mabwana wakubwa wawili wameshindwa kuyaona yaliopo Tanesco> Wameshindwa kuelewa kuwa Tanesco hakuna "reforms" zitakazofanyika na kuwaokowa Watanzania na janga la umeme?
Sababu kila namna zitatolewa, lawama zitapelekwa kila mahala, sababu za kujitetea zinazoingia akilini hatzitokosa kuwepo, lakini ukweli ni kuwa Tanesco limekuwa ni shirika kubwa sana lisilo na faida (Huge White Elephant".
Ushauri na nyinyi kifanyike hatraa sana? Hakuna zaidi ya kulikata kata shirika na kulipunguza ukubwa wake.
Tanesco ianze kubomolewa kimikoa. Kila mkowa uwe na shirika lake la Umeme la kujitegemea, tuuziane umeme kimkoa. Simple and straight foreward solution.
Tuanza na mkoa mmoja mmoja hataka sana. Kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.
Nje ya hapo, hata mabwawa yote, pamoja na bwawa jopya la Steigler, yazalishe umeme kwa 100% pamoja na vinu vyote vya Kinyerezi na IPtL na majenereta ya kizamani yazalishe, bado tatizo litakuwepo na pengone litazidi.
Kila mkoa ujipatie shirika lake la umeme na watendaji wake, ndiyo njia pekee iyayowezesha "monitoring and evaluation" ya ufanisi. Nje ya hapo tutapigana porojo kila siku.
Kitila na mchehu na ujanja wenu wote wa maneno, mmeshindwaa kuliona hilo? Au mmefungwa mikono? Mnalo la kujibu kwa Watanzania. Au mtueleze wazi kuwa TANESCO haipo chini yenu?
Kuilaumu serikali yote na kuilaumu tanesco yenyewe, ambayo haijuwi la kufanya utabaki kuwa ni ujinga tu. Wenye dhamana ya mashirika ya umma kwa sas ni hao watu wawili. Waje watueleze wamefanya, wanafanya nini kuhusu tatizo la daima la TANESCO?
Kuendelea kulilea shirika la TANESCO, unakuwa ni uongozi wa zima moto, utazimwa moto unapowaka lakini baada ya muda unaanza tena. Ukweli ni kuwa Reforms zimeshindikana Tanesco, tuingie kwenye Rebuilding ya Tanesco. Uta Rebuild bila kubomowa? Mawee.
Ustadhi hapo hujaelewa nini? Ufisadi umefanyika na bado hatuna umeme na wahusika bado wako barabaraniSijakuelewa kabisa.
Mimi ushauri wa nini kifanyike nimeshautowa post namba moja.
Utawasukumije hao lawama bila kuanza na Samia? Tatizo lako ni unafiki husemagi ukweli kwa mtu wa upande wako.Bila kutafuna maneno, TANESCO ni shirika la umma lililoshindwa kabisa kufanya kazi zake ipasavyo.
Reforms za mashirika yote ya umma kwa sasa zipo chini ya Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu.
Hao mabwana wakubwa wawili wameshindwa kuyaona yaliopo Tanesco> Wameshindwa kuelewa kuwa Tanesco hakuna "reforms" zitakazofanyika na kuwaokowa Watanzania na janga la umeme?
Sababu kila namna zitatolewa, lawama zitapelekwa kila mahala, sababu za kujitetea zinazoingia akilini hatzitokosa kuwepo, lakini ukweli ni kuwa Tanesco limekuwa ni shirika kubwa sana lisilo na faida (Huge White Elephant".
Ushauri na nyinyi kifanyike hatraa sana? Hakuna zaidi ya kulikata kata shirika na kulipunguza ukubwa wake.
Tanesco ianze kubomolewa kimikoa. Kila mkowa uwe na shirika lake la Umeme la kujitegemea, tuuziane umeme kimkoa. Simple and straight foreward solution.
Tuanza na mkoa mmoja mmoja hataka sana. Kila mkoa uwe na shirika lake la umeme.
Nje ya hapo, hata mabwawa yote, pamoja na bwawa jopya la Steigler, yazalishe umeme kwa 100% pamoja na vinu vyote vya Kinyerezi na IPtL na majenereta ya kizamani yazalishe, bado tatizo litakuwepo na pengone litazidi.
Kila mkoa ujipatie shirika lake la umeme na watendaji wake, ndiyo njia pekee iyayowezesha "monitoring and evaluation" ya ufanisi. Nje ya hapo tutapigana porojo kila siku.
Kitila na mchehu na ujanja wenu wote wa maneno, mmeshindwaa kuliona hilo? Au mmefungwa mikono? Mnalo la kujibu kwa Watanzania. Au mtueleze wazi kuwa TANESCO haipo chini yenu?
Kuilaumu serikali yote na kuilaumu tanesco yenyewe, ambayo haijuwi la kufanya utabaki kuwa ni ujinga tu. Wenye dhamana ya mashirika ya umma kwa sas ni hao watu wawili. Waje watueleze wamefanya, wanafanya nini kuhusu tatizo la daima la TANESCO?
Kuendelea kulilea shirika la TANESCO, unakuwa ni uongozi wa zima moto, utazimwa moto unapowaka lakini baada ya muda unaanza tena. Ukweli ni kuwa Reforms zimeshindikana Tanesco, tuingie kwenye Rebuilding ya Tanesco. Uta Rebuild bila kubomowa? Mawee.