Lawama zote za umeme ziwaendee Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu

Lawama zote za umeme ziwaendee Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu

Hata uongozi ushushwe na buibui hakuna Mtanzania mwenye ujanja wa kuendesha mashirika makubwa kwa sasa.

Niambie nani anaeweza kuongoza shirika kubwa bila ujinga?
Wapo. Tatizo ni kuwa wanachaguana kwa kujuana. Unamteua mtu kama huyu Mchechu unategemea kupata nini? Hawa ni ''wajanja wajanja'' wa mjini tu na hakuna la ziada. Sasa hawa wapo wengi kweli kweli kwenye teuzi za Samia. Au tukubali tumefeli tuajiri uongozi wa juu kutoka kwa mataifa yaliyoendelea. Nchi kama hizi za Scandinavia zina watu waadilifu kweli. Kwanza tuchukuwe kampuni ifanye upembuzi yakinifu kuhusu muundo bora wa shirika halafu zile nafasi muhimu zote tuwape wazungu. Rais akicheza karata vizuri anaweza kupata wataalam kwa kusaidiwa na serikali za nchi husika na hata malipo yakawa chini kabisa. Vinginevyo badala ya kukubali kupewa misaada ya fedha tuombe wataalam waje kutusaidia kuendesha shirika kwa muda fulani.
 
Hapo ni kutafuta pakutokea tu.

Huwa hampigi kura?
Nchi hii hakuna uchaguzi bali kuna maigizo ya kupiga kura. Kwa kilichotokea 2020 unapata wapi ujasiri wa kusema tuna serikali iliyochaguliwa na wananchi?
 
Wewe wasema.

Inategemea,

Mabadiliko yatakayopelekea uboreshwaji wa utendaji na maendeleo ya wananchi sio lazima yaletwe na chadema,

Inaweza kufanyika vinginevyo kabisa.

Kwani wakati wakati wa kudai Uhuru matharani kulikuwa na chadema ?

Je Uhuru ulipatikana haukupatikana?
60 years after uhuru runahangaika na mgao…. Bi chau FaizaFoxy anataka changes in six months because haoni ustaadh kwenye safu

Wewe unaamini chama ndio kina leta umeme

Mimi naamini a right country mindset that puts siasa aside will change our country
 
Wapo. Tatizo ni kuwa wanachaguana kwa kujuana. Unamteua mtu kama huyu Mchechu unategemea kupata nini? Hawa ni ''wajanja wajanja'' wa mjini tu na hakuna la ziada. Sasa hawa wapo wengi kweli kweli kwenye teuzi za Samia. Au tukubali tumefeli tuajiri uongozi wa juu kutoka kwa mataifa yaliyoendelea. Nchi kama hizi za Scandinavia zina watu waadilifu kweli. Kwanza tuchukuwe kampuni ifanye upembuzi yakinifu kuhusu muundo bora wa shirika halafu zile nafasi muhimu zote tuwape wazungu. Rais akicheza karata vizuri anaweza kupata wataalam kwa kusaidiwa na serikali za nchi husika na hata malipo yakawa chini kabisa. Vinginevyo badala ya kukubali kupewa misaada ya fedha tuombe wataalam waje kutusaidia kuendesha shirika kwa muda fulani.
Wewe ungemteua nani
 
60 years after uhuru runahangaika na mgao…. Bi chau FaizaFoxy anataka changes in six months because haoni ustaadh kwenye safu

Wewe unaamini chama ndio kina leta umeme

Mimi naamini a right country mindset that puts siasa aside will change our country
Hilo lisikutishe, bado tu wajinga sana. Mama ndiyo kaanza kutufunguwa vichwa.
 
Lawama zote zielekezwe Kwa CCM na Serikali yake,

Pia lawama zaidi ziende Kwa Kamba na aliyemteua.
 
Hilo lisikutishe, bado tu wajinga sana. Mama ndiyo kaanza kutufunguwa vichwa.
Kwenye kufunguka sawa

ILA kulaumu mtu aliyekaa miezi nane ofisini ukitaka atatue ambayo hata waume na wadogo zako walishindwa for 60 years sio sawa

Una ubaguzi wa hovyo sana

Our president has a clear vision (trade liberalization) but YOU are very discriminatory!! Unacceptable
 
Wapo watanzania wengi. Siyo lazima niwajue. Ila kwenye umati wa raia, watu wazima zaidi ya milioni 30 huwezi kukosa mtu kama utafanya recruintment nzuri.
Hili ndio tunaita domokaya…. Huna hata idea ya the right people but busy kupinga kila option

Huna idea of the right person
 
Hili ndio tunaita domokaya…. Huna hata idea ya the right people but busy kupinga kila option

Huna idea of the right person
Ndiyo nikakuambia mawazo yako yanawakilisha ufyongo wetu. Unategemeaje mtu mmoja kukaa kwenye kochi nyumbani na kujua mtu sahihi wa kuendesha Tanesco bila kufanya due diligence ya hali ya juu? ''Ubongo kaya'' wewe.
 
Kwenye kufunguka sawa

ILA kulaumu mtu aliyekaa miezi nane ofisini ukitaka atatue ambayo hata waume na wadogo zako walishindwa for 60 years sio sawa

Una ubaguzi wa hovyo sana

Our president has a clear vision (trade liberalization) but YOU are very discriminatory!! Unacceptable
Ubaguzi upi hapo kusema lawama zote wapelekewe wao ndiyo ubaguz?

Sasa si ndiyo kazi yao hiyo?
 
Niongezee: mawazo kama yako ndiyo yamefanya mashirika kama Tanesco yafeli. i.e. kutegemea mtu mmoja kufikiri na kuteua mtu badala ya kufanya recruitment professionally!
Huna hata mmoja and you want changes

Tupe Basi hata kumi wanaoweza kufanya reforms including yourself
 
Ndiyo nikakuambia mawazo yako yanawakilisha ufyongo wetu. Unategemeaje mtu mmoja kukaa kwenye kochi nyumbani na kujua mtu sahihi wa kuendesha Tanesco bila kufanya due diligence ya hali ya juu? ''Ubongo kaya'' wewe.
Imefanyika for over a year… wamekuja na ramani nzuri tu isiyotaja Wala kuhitaji jina la mtu…. Umeisoma?

Ushabiki tu
 
Kwisha Habari yako
Endelea kunisoma tu, mdogo mdogo kama Palestina.

Si umeona leo vijana wa Kipalestina wametwaa Kombe la Vita:

 
Sababu sio waislam sio. Ila waislam SSH na Makamba can do no wrong. How naive can one be?

Umeme unaozalishwa bongo ni mdogo wakati mahitaji yanazidi kuongezeka hili ndo tatizo. Hata waziri awe nani au bodi ngapi zivunjwe bila vyanzo vipya vya kufufua umeme changamoto ipo pale pale ndo maana Jiwe aliwekeza sana kujenga JNHPP, kama angekuwepo labda ingekua imekamilika.
 
Endelea kunisoma tu, mdogo mdogo kama Palestina.

Si umeona leo vijana wa Kipalestina wametwaa Kombe la Vita:

It was evident

Una ubaguzi
 
Imefanyika for over a year… wamekuja na ramani nzuri tu isiyotaja Wala kuhitaji jina la mtu…. Umeisoma?

Ushabiki tu
Huna lolote wewe. Unataka mimi nikae kwenye kochi nyumbani halafu nije na jina la mkurugenzi wa Tanesco. Huu ujinga ndiyo unafanya shirika lifeli. Badala ya kutaga wapatikane kitaalam wewe unaleta longolongo zako hapa.
 
Back
Top Bottom