Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Maisha mafupi; Asilimia 95 kama sio 100 tuliomo humu, miaka 50 ijayo tutakuwa tumefutika, tuishi tukijua hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani jpm ana cheo gani sasa?Alijifanya mjuaji kumbe hamjui vizuri Mwamba JPM a.k.a Mzilankende...akapita na miguu yote miwili...
Heshimuni Mamlaka otherwise mtaumia...
A Allah nous appartenons et c'est à Lui que nous retourneronsإِنَّا ِلِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ
Weee miye nakukubali sana tuuUKIMWI unaua. Rest in peace bro.
Wewe nawe ni mpumbavu Nini hivi unahisi kutisha watu ni sifa? Acha usengeAlijifanya mjuaji kumbe hamjui vizuri Mwamba JPM a.k.a Mzilankende...akapita na miguu yote miwili...
Heshimuni Mamlaka otherwise mtaumia...
Sio ni syndromeKwani ukimwi ni ugonjwa?
Alikuwa sawa huyu alitokea bank tena alikuwa CEO wa NBCPoleni ndugu ,jamaa na marafiki.
M.A.P L.M
Nakumbuka alivyotoa maoni mchana kuhusu fedha zote za mapato ya serikali ziondolewe kwenye Bank za kibiashara zipelekwe BOT zitayumbisha uchumi ,saa mbili JIWE akamtumbua ila Mama kizimkazi akaja kumrudisha.
Bibi na wewe zile Connection ume ziona lahaaaaulah la kwata upo video ya ngapi nikuongezee mzigo maana mm ndo kwanza nipo ya 232 kuelekea 400Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Muulize mkeweSamahani imani gani kabla sijatoa pole
Nenda Chato watakuambia...Kwani jpm ana cheo gani sasa?
Kwahio ina maana ile pisi yake nayo iko +VE?Ila king huu mkono wa nyani maamaee utauondoa wengi sana janjaroo bado anadunda nao tu. Dogo tulimuonya atemane na Airinii akatuona mafala hadi akamuoa.
Siwezi kuacha kwani ndio shughuli inayoniingizia kipato...labda useme jingineWewe nawe ni mpumbavu Nini hivi unahisi kutisha watu ni sifa? Acha usenge
Yupo sahihi Iron domeUjuaji wa Mafulu ulikuwa ni upi
Utajichanganya siku moja wakufireSiwezi kuacha kwani ndio shughuli inayoniingizia kipato...labda useme jingine
Bado hamjataja ujuaji wakeYupo sahihi Iron dome
Akili yako unaijua mwenyewe. WM lazima atokane na wabunge wa kuchaguliwa.GENTAMYCINE niliposema mapema tu mwaka huu kuwa kuanzia mwishoni mwa mwaka huu 2024 na hadi July hadi September mwakani kutatokea Vifo vya Kushtukiza kwa Wakubwa sikueleweka na nikaonekana Zamwa / Chizi sasa taratibu nitaanza Kueleweka na huenda hata Kujengewe Sanamu langu.
Huyu ndiyo alikuwa anaenda kuwa Waziri Mkuu ajaye 2025 ambapo Mama yenu angemteua nafasi ya Ubunge ila Mchezo ule ule wa Deo Filikunjombe ambaye nae Hayati alipanga kumteua Waziri Mkuu wake 2015 umechezwa ila tofauti tu ni kwamba Deo ni kwa kutumia Chopper Mchezo wa Korea Kaskazini na huyu wa Leo ni kwa Mchezo wa Urusi ambao huwa hauna Masihara kama Maadui wakikutafuta nao.
Najua kama kuna Msiba ambao utamuumiza Mama yenu ni huu wa huyu, ila msaidieni Mama yenu kwa kumwambia ajitahidi sana awe Msiri kwa Mambo yake kwani ana Maadui ndani yake halafu kuna Vita Kubwa sana ya Makundi ndani ya CCM hasa kuelekea 2025 na kama kuna Nafasi inayotamaniwa na itaondoka na Wengi ni ya Waziri Mkuu.
Mko huru kuendelea Kunidharau kwani Nabii hajawahi Kukubila Kwao lakini sijawahi kusema Jambo lisije Kutimia mbeleni. Na ninachojua ni kwamba bado wapo Watu kama Watatu au Wanne hivi wapo katika Vita Kubwa sana na Wawili wako Nje (bench) ila ni Mafia hakuna Mfano na Mfalme wao hivyo tutarajie Misiba mingi kuanzia hiyo 2025.
Imeisha hiyo.........!!!!!!!
Ustaadhat kumbe hadi kwenye connection upo vizuriInna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Muulize VictoireAlikuwa akisumbuliwa na saratani