KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
ALALE PALE ANAPOSTAHILI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri kuwa fit kama "wakinga" 😁😁😁Mimi niko fit sina maradhi haya lakini ninaongea kwa sababu nilikuwa mtumishi wa Wizara ya Afya. Nimesoma ripoti za tafiti mbalimbali
50 + miaka uliyonayo= < 75Simo katika asilimia za kufa Kaka ,nakataa
Ipi hiyo?Kwahio ina maana ile pisi yake nayo iko +VE?
Wewe wasemaNani Kasema kawahishwa
Kazi imeshaanza Mkuu bado kama Watatu au Wanne hivi. Cheza na Vitu vyote duniani ila siyo Mchezo wa Mrusi Putin.Sasa naanza kuuelewa mchezo yule "Tumia akili " nyuzi zake zinaanza kutekelezwa pole pole!Ina maana cycle ya chura itaanza kufanyiwa kazi hasa wale wenye influence kwenye mfumo na jamii!!
Hadi mkutano mkuu wa ccm pale chimwaga mwakani mambo yatakua yamejiseti yenyewe!
Kifupi kazi imeanza!
Japo siajajua Role ya Tolu kwenye hii move in ipi!!!
Ndio mkuu, imeniuma sana yani...😪Heeee classmate tena?
Hapo kwenye shule ndio muhimu sanaKuzaliwa, shule havisemwi
kwenye jambo hilo hilo la kuleta takwimu ambazo hazipoAlimgomea kwenye jambo gani?
.Cv mbona haijakamilika?
Pole sanaWewe wasema
RIP Mafuru.RIP mwamba uliyemgomea jiwe
Kwani janja si ana pisi ya kishua ambayo anaishi nayo sahizi wana Magonga ya maana kwaoIpi hiyo?
nim ommit m... kila mmoja anajua kuwa ni typo err, sasa wewe shauri lakoANAHUSIKA NA MIPANGO SIO IPANGO UNAMUONEA.
Je, ni polonium au Thalium?😄Kazi imeshaanza Mkuu bado kama Watatu au Wanne hivi. Cheza na Vitu vyote duniani ila siyo Mchezo wa Mrusi Putin.
Imeandikwa wapi katika Katiba ya Tanzania nionyeshe tafadhali.Akili yako unaijua mwenyewe. WM lazima atokane na wabunge wa kuchaguliwa.
maradhi gani yasiyo uaUKIMWI unaua. Rest in peace bro.
Unauliza Ajali za Barabarani Vigwaza?Shikamoo Mkuu, ulisemaga watu wakasema dishi lako limeyumba. Kumbe upo sahii. Kwa hiyo unasema,kuelekea 2025 rip zitakuwa nyingi mno?
Kitu kikali cha Mrusi ni hicho cha Polonium Mkuu.Je, ni polonium au Thalium?😄
Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.