Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano

Anasifika kwa kutokuwa mchoyo.. Mungu atamrehemu
Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
 
Jamaa haki yake tumpe alikua mstaarabu sana, uzinzi ndio sikatai. Kuna yule mwenzie walikua kampuni moja sijui Magai jamaa fala sana.i hope amekua ameacha
 
Duh noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa NENO la faraja na kumbusho
Jr[emoji769]
 
Hili neno huwa linanijenga nikiyumba.
Hakuna haja ya kufurahia anguko la mtu, tuliowahi kuanguka tunajua maumivu ya kusemwa, kubezwa na kudharauliwa, lakini Mungu anspokuinua kwa awamu nyingine huwa na UTUKUFU MKUU kwani tayari una funzo
Karibu Mshana Jr
SweetieLee
Asante kwa NENO la faraja na kumbusho

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na washindwa daima ndio hufurahia anguko la wengine ila ukiwa unalifahamu hili neno hutayumba kamwe
Jr[emoji769]
 
We mzee hii ulipiga ramli chonganishi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…