Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #181
Anasifika kwa kutokuwa mchoyo.. Mungu atamrehemu
Jr[emoji769]
Nlibahatika kukutana naye kwa wavimba mcho
Ilikuwa club alikuwa na ttz alafu zimemganda
Ila naskia enz zake yuko njema ukimtokea akikuelewa ukimpa plan anakuwezesha
Kuna Figo mmja anaitwa Abba mm namjua alimtokeaga akampa plan yke ya kununua laptop used kutoka USA na kuzileta bngo
Frm wazir alimuwezesha mpunga mtaji dogo akapiga Kazi sana
Ila jamaa Frm wazir ni mjivuni(nature)
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr[emoji769]