Hakuna wakati tutakaofurahi under the present administration. Ameapa tuishi kama mashetani na wakulima walimie menoIngawa Stone anatubana Kende, anazibana kwa manufaa ya baadae ingawa inatutesa. Ila huyu jomba angeushika usukani tungekula Raha to the fullest tukiwa hatujijui ka ni Sold Out
Sent using Jamii Forums mobile app