Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masha hapo alipo sio hana hela,anayo ndefu tu sema ni ile anapeleka kimagumashi na waliomzunguka wanajua ndo mana wanacheza nae tu bampingPata pesa tujue tabia yako, kosa pesa tuone madhaifu yako
Jr[emoji769]
Yeah lakini hata hivyo mzunguko umepungua na kibubu hakipokei tena vinono, vile vya kugawana kwenye round tableMasha hapo alipo sio hana hela,anayo ndefu tu sema ni ile anapeleka kimagumashi na waliomzunguka wanajua ndo mana wanacheza nae tu bamping
Kijana wa mzee wa mvi
Wakati ukutaYeah na umri sio miaka
Jr[emoji769]
GT GENTAMYCINE ni PM basi story yote ya demu wa kichagga. Halafu kuna siku hapa ulichangiaga kigogo flani akiingiaga jumba flani zuri jeupe kawe mbezi beach kanuna akitoka anafurahiii ndiye huyu??
Please inform me
Kwani Masha ni msukuma, siyo mchaga yule?Hahaha mkuu. Ila kiukweli watu wa kanda ya ziwa from Mara. Kagera na Mwanza na hata Kigoma wana dharau sana.
Msukuma.
Mkuuu maneno yako machache lakini yananinyima usingizi unamaana gani aisee.Maamuzi ya sekunde chache yanaweza kuibomoa hatma yako uliyoijenga kwa miongo kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo bora huyu jiwe anavotukaba mpaka tunashindwa kupumua ila na ww bhna [emoji23][emoji23][emoji23]Yule mzee mbona tulikuwa tunauzwa tumesimama!
Ingawa Stone anatubana Kende, anazibana kwa manufaa ya baadae ingawa inatutesa. Ila huyu jomba angeushika usukani tungekula Raha to the fullest tukiwa hatujijui ka ni Sold OutKwa iyo bora huyu jiwe anavotukaba mpaka tunashindwa kupumua ila na ww bhna [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Masha siyo msukuma, ni Mzinza. Japo wazinza wengi wanaelewa kisukuma sababu ya mwingiliano wa kabila lao na wasukuma huko Sengerema.Msukuma.
Unachanganya na Macha.
Madeni au kodi huwa hazikwepwi kwa mtindo huo.Nadhani ulikuwa ukwepaji wa madeni kama enzi zile kampuni inabadili mmiliki then wanasepa, sijui kama kuna zaidi ya hapo
Kwa sisi kuongozwa na CCM tumeuzwa tukauzika, hatuna chetu tena tunagaagaa kwenye list ya nchi masikini almost kuliko zote dunianiYule mzee mbona tulikuwa tunauzwa tumesimama!