Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano

Lawrence Masha! Mpambanaji anayekaribia kupoteza pambano

Masha hapo alipo sio hana hela,anayo ndefu tu sema ni ile anapeleka kimagumashi na waliomzunguka wanajua ndo mana wanacheza nae tu bamping
Yeah lakini hata hivyo mzunguko umepungua na kibubu hakipokei tena vinono, vile vya kugawana kwenye round table

Jr[emoji769]
 
GT GENTAMYCINE ni PM basi story yote ya demu wa kichagga. Halafu kuna siku hapa ulichangiaga kigogo flani akiingiaga jumba flani zuri jeupe kawe mbezi beach kanuna akitoka anafurahiii ndiye huyu??

Please inform me

Ukiona Post yoyote ile mwishoni naishia na neno la ' Naomba niishie hapa tafadhali ' halafu naliwekea rangi Nyekundu jua Kimaadili siwezi tena kuendelea zaidi ya hapo hata iweje.
 
Kwa iyo bora huyu jiwe anavotukaba mpaka tunashindwa kupumua ila na ww bhna [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa Stone anatubana Kende, anazibana kwa manufaa ya baadae ingawa inatutesa. Ila huyu jomba angeushika usukani tungekula Raha to the fullest tukiwa hatujijui ka ni Sold Out
 
Nadhani ulikuwa ukwepaji wa madeni kama enzi zile kampuni inabadili mmiliki then wanasepa, sijui kama kuna zaidi ya hapo
Madeni au kodi huwa hazikwepwi kwa mtindo huo.

Kama hiyo ni kweli basi sheria za nchi zinabidi kubadilishwa haraka sana kuziba hiyo mianya!!
 
Back
Top Bottom