Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Huyu jamaa alivyo anza kulalamika kwenye ile ishu ya kiwanda sijui cha twiga cement kuporomoka mauzo halafu anahisa huko baada ya kama miezi kadhaa akahamia ccm, nilihisi kuna kitu jamaa amesha shtuka ila too late..
Tatizo raia hawataki kubadilika kulingana na mda..
Tatizo raia hawataki kubadilika kulingana na mda..