Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Tumwache apambane na hali yake. Alishazoea vya kunyonga sasa vya kuchinja vinampa shida.
Asubiri tu makada wa CCM watakuja kumsaidia.
Asubiri tu makada wa CCM watakuja kumsaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu huwawezi kaka, pengine hata wewe unang'ong'wa.... Kuna baadhi hapa wanamkandia but they are so brokeIla jamaa watu wanamchukulia mjivuni lkn ukiwa karibu naye mbn yuko poa tu!
Kuna jamaa fulani mmja wao Jina lake Linanzia na A alimfata Marsha akampa mchakato fulani wa biashara,Marsha alimpatia mtaji jamaa akawa anaenda USA kufata laptops used na kuzieleta bongo
Nawajuaa Vijana kama 3 wengine pia Marsha aliwapa fursa....ya mitaji
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu. Ila kiukweli watu wa kanda ya ziwa from Mara. Kagera na Mwanza na hata Kigoma wana dharau sana.Kabila linachangia[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Jr[emoji769]
Nikumbushe
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado yule mzee wa fursa mwenzie anjiita albert msando aka don..siku akisikia ile bar itapita barabara lazima adate maana mda mwengine anaponda harakati za jiwe kama anajisahau naye wa ndani...na vijana ccm wasivyompenda
Sent using Jamii Forums mobile app
IMMA ADVOCATES .........Hiii kampuni iliwahi kuhusishwa na ufisadi.Enzi zile Mwanahalisi ni gazeti kwelikweli waliandika vizuri,sema tu sikumbuki vizuri.Mwenye data amwage hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado yule mzee wa fursa mwenzie anjiita albert msando aka don..siku akisikia ile bar itapita barabara lazima adate maana mda mwengine anaponda harakati za jiwe kama anajisahau naye wa ndani...na vijana ccm wasivyompenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa,asante sanaWazee wa Green Deep hao
Sent from my iPhone using JamiiForums
SahihiMkuu, ni the end justify the means au ni the means justify the end?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kati ya hao watatu kuna mmoja hata mmi namjua ana office moja k/koo ingine posta .Ila jamaa watu wanamchukulia mjivuni lkn ukiwa karibu naye mbn yuko poa tu!
Kuna jamaa fulani mmja wao Jina lake Linanzia na A alimfata Marsha akampa mchakato fulani wa biashara,Marsha alimpatia mtaji jamaa akawa anaenda USA kufata laptops used na kuzieleta bongo
Nawajuaa Vijana kama 3 wengine pia Marsha aliwapa fursa....ya mitaji
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu na wewe lengo lako si ilikuwa ang'ong'we kama hivi .??Binadamu huwawezi kaka, pengine hata wewe unang'ong'wa.... Kuna baadhi hapa wanamkandia but they are so broke
Jr[emoji769]
Hivi kuna wanawake wenye akili wanaojitambua zama hizi? kama wapo nahisi hawazidi asilimia mojaHao wanawake ni wajinga na wapuuzi, wao ndiyo walipenda na kumpenda
IndeedMaamuzi ya sekunde chache yanaweza kuibomoa hatma yako uliyoijenga kwa miongo kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app