mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Viongozi wa juu wa ACT Wazalendo na CHADEMA Kesho, Jumamosi, Oct 31, watazungumza na vyombo vya habari saa nne asubuhi. Watakua Makao Makuu ya CHADEMA Kinondoni.
Afu kuna mataga wanashangilia ushindi..!!!Kwenye huu utawala hadi wanawake wamebebeshwa kura za wizi
View attachment 1616087
HaswaaHawa ndio polisi wa Africa sasa.. Msiwaine wenzenu Nigeria wamechachawa vile mkdhani wehu..wameonewa vya kutosha
Bahati nzuri tumeshamuona.Maana adhabu ya mwizi inajulikanaKwenye huu utawala hadi wanawake wamebebeshwa kura za wizi
View attachment 1616087
Ninakumbuka speech zake alisema “mimi ndiye Komandoo “.
John Pombe Magufuli - Kura 12,516,252
Tundu Antipas Lissu - Kura 1,933,271
John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
ITV
Imeisha hiyo!!!!
Ukiona kijana wa kiume anaogopa kupambania haki kuliko mwanamke kwa mazingira ya Africa jua kuna shida mahal a-hongera sana best-you are too inspiringAnashindwa kujua hata kwenye kupigania uhuru, wazee wetu walisacrifice maisha yao mbele ya mkoloni ndio maana tukapata uhuru, the same has to be done ili kuondokana na utawala huu wa kijinga kuwahi kutokea
Sema wameporwa, siyo wamepigwaHakuna jipya hapo mmepigwa kipigo cha mbwa koko
Bunge la mataga tupu
Kimamlaka, umma upo juu ya serikaliMsicheze na serikali enyi wapinzani mtaumia
Wana angalia kama vile hawaoni au hawasikiiBunge la mataga tupu
Ule mda wakujisetisha ushafik looh!...Maelekezo yapo straight kabisa. Uchaguzi umeshaisha. Tumetoa maoni yetu kipindi cha kampani ili kufanya maboresho. Kampeni zimeisha. Uchaguzi umeisha. Wananchi wamemchagua JPM , ni jukumu la kila raia kutoa ushirikiano kwa JPM kama Rais wetu.
Kwa yeyote Mtanzania anaejaribu maandamano kwa mitandao au kwa vikundi anakwenda kinyume na sheria za nchi, Jamhuri haitosita kutumia nguvu kwa maslaha mapana ya Taifa.
Vijana msirubunike, don’t trust anyone, hao mnaopanga nao wapo watu wetu, utashangaa familia yako haikuoni tena, acheni hayo mambo. Fanya kazi kwa bidii, soma kwa bidii, wapende wazazi wako , itoshe kusema hivo
Kama mnataka maandamano, hakikisha Mbowe, Lema, Tundu, yule Muha Wote wanakaa Front page nyie mkiwa nyuma ili Jamhuri ianze na hao walio mbele.
Tarehe 5 au Jumatatu tuta muapisha Rais. Tunaomba maisha yaendelee na amani itawale. Tumesikia shida zenu na tutatatua baadhi ya changamoto at the earliest.
Makaburu walitisha Sana wananchi lkn mwishowe UHURU ulipatikana.Tunafuatilia Mienendo yenu. Madhara ya kuandamana yatakuwa makubwa kuliko madhara ya kutulia nyumbani.
Uchaguzi umeisha, Rais JPM aungwe mkono , siasa zimeshaisha. Mtatolewa kafara na hakuna Human Rights yoyote itakayoingilia mzozo, acheni hayo mambo.
Miongoni mwa hao mnaopanga nao kuandamana wapo watu wetu hivyo itakuwa ni rahisi sana kuwatia nguvuni kama wale vijana wa IT waliokuwa wanajaribu kuvuruga mifumo ya matokeo mwaka 2015 some of them were our members. So watch out !
Only to advise!
Ule mda wakujisetisha ushafik looh!...
Njoo na [emoji723] kbs kusema watu wetu cjui wko cjui nn nn haitoshi.. In fact sio maadil ya hyo kazi..
By the way km unawish au umepachikw sehm jipime kimaadil hautoooooshi!...
Zimejaa begi hizo kura feki... afu mtu anabana pua.. "aungwe mkono"!Hizi kura za Rais zilizo pigwa kabla ya 28 jimbo la kawe.View attachment 1616131
Well said!Ww si mtu wa mamlaka, probably hujamaliza shule au umemaliza juzi juzi, au ni polisi/mgambo/kuruta.
Hatahivyo upo sahihi, watu watulie tuendelee kufurahia maisha pamoja na changamoto zilizopo.
Kwa wale wenye hasira sana wawaambie wake/rafiki zao wasonge ugali mkubwaa wale na mboga za majani na maji mengi, inasaidia sana.