Uchaguzi 2020 Lazaro Mambosasa ametoa tamko kwa wanaopanga kupinga matokeo ya Urais

Uchaguzi 2020 Lazaro Mambosasa ametoa tamko kwa wanaopanga kupinga matokeo ya Urais

We mkimbizi mambo ya taifa letu hayakuhusu. Kaaa mbali kabisa.
Maelekezo yapo straight kabisa. Uchaguzi umeshaisha. Tumetoa maoni yetu kipindi cha kampani ili kufanya maboresho. Kampeni zimeisha. Uchaguzi umeisha. Wananchi wamemchagua JPM , ni jukumu la kila raia kutoa ushirikiano kwa JPM kama Rais wetu.

Kwa yeyote Mtanzania anaejaribu maandamano kwa mitandao au kwa vikundi anakwenda kinyume na sheria za nchi, Jamhuri haitosita kutumia nguvu kwa maslaha mapana ya Taifa.

Vijana msirubunike, don’t trust anyone, hao mnaopanga nao wapo watu wetu, utashangaa familia yako haikuoni tena, acheni hayo mambo. Fanya kazi kwa bidii, soma kwa bidii, wapende wazazi wako , itoshe kusema hivo

Kama mnataka maandamano, hakikisha Mbowe, Lema, Tundu, yule Muha Wote wanakaa Front page nyie mkiwa nyuma ili Jamhuri ianze na hao walio mbele.

Tarehe 5 au Jumatatu tuta muapisha Rais. Tunaomba maisha yaendelee na amani itawale. Tumesikia shida zenu na tutatatua baadhi ya changamoto at the earliest.
 
Kimamlaka, umma upo juu ya serikali
Umma umeridhia matokeo na ushindi wa John Pombe Magufuli na team ya wabunge na madiwani.
Vinginevyo kila familia, kila mtaa, kila kata, kila wilaya na kila mkoa wangekua barabarani sasa na hapangekua na wa kuwazuia.
 
Nimemuona Mambosasa akizungumza, amezungumza kiushabiki, anasema Dar es Salaam sio shamba la bibi kuna watu
Sijui kwanini akili yangu inawaza kwamba mambo yaliyotokea kibiti yatajirudia kuanzia mwakani..!! Nadhan inabid wajipange kwa hili, hasa kwa madiwani ma viongozi wa chini wa chama cha mapinduzi..!! Wanaweza anza potezwa,
 
Well said!
Inashangaz huend ht hajafikia huo ukuruta wenyw pngne anasotekea kwny uzalendo anakuja kutema cheche ziczo na mantiki jukwaani.
Hakuna anayetamani vurugu wala kuona jamaa ndugu na marafik wakisota in the name of politics lkn sababu ya kutisha nakujichetua watu wetu wamo cjaiona ni ushamba ulopindukia ht km ni police hajaiva arejee kwny msoto ajifunze maadil.

Sikutishi ninakueleza ukweli and yes tunawatu wetu hivyo kama mnafikiria kuweka vikundi acheni kabisa. Nakutahadharisha na utahadharishe vijana wote kuandamana. Mwiko utawala huu.

Call me Mzalendo or your dad. Itapendeza
 
Anaisaidia tume kutoa majibu?!
Tume inatakiwa itoe taratibu kwa mwenye malalamiko,namna ya kuwasilisha pingamizi kwa maeneo yenye ukiukwaji wa taratibu.
Ikumbukwe Tume ya uchaguzi katika ngazi za chini,wasimamizi hawakuwa huru!!
 
Maadili ya kazi gani.?

Nenda kaandamane
Ushajaa upepo just a matter of sec..
Acha kujichetua utanasika pabaya..
Ushaur wko nakutilia maneno mgando ya kujichetusha watu wko wenu bla bla wpo hko umeulizwa?!..
 
Ushajaa upepo just a matter of sec..
Acha kujichetua utanasika pabaya..
Ushaur wko nakutilia maneno mgando ya kujichetusha watu wko wenu bla bla wpo hko umeulizwa?!..

Matter of second my foot.

Utoke basi nyie si viburi. Tokeni that is all we can say hakuna aliyejaa upepo. Andamaneni and thank me later.

Au unataka tu block na Mkutano wenu wa Kesho. Tunawacheki Kwenye Darubini na spidi yenu tu .

........ anzisheni maandamano,
 
Ushajaa upepo just a matter of sec..
Acha kujichetua utanasika pabaya..
Ushaur wko nakutilia maneno mgando ya kujichetusha watu wko wenu bla bla wpo hko umeulizwa?!..

Hata kuandika kiswahili tu hujui, inaonesha how small your mind is.
 
Umma umeridhia matokeo na ushindi wa John Pombe Magufuli na team ya wabunge na madiwani.
Vinginevyo kila familia, kila mtaa, kila kata, kila wilaya na kila mkoa wangekua barabarani sasa na hapangekua na wa kuwazuia.
Umma wa wapi umeridhia?!

Kama wanaamini umma unaunga mkono huo ushindi, kwa nn wasiache wananchi waandamane??

Na kwa nn wamezuia mitandao karibu yote, pamoja na free media Kama BBC swahili, DW, VOA, nk??!
 
Sikutishi ninakueleza ukweli and yes tunawatu wetu hivyo kama mnafikiria kuweka vikundi acheni kabisa. Nakutahadharisha na utahadharishe vijana wote kuandamana. Mwiko utawala huu.

Call me Mzalendo or your dad. Itapendeza
Daddy my ass!
Acha uzwazwa..utamtisha nan we mgambo ulokosa kirungu cha lindo..
Kuropoka siri zisizokuhusu ni utopolo.
Ebu Leta ushahid vle umewapang hao watu kwny hko wanakopangilia hyo matendo?!..
Acha kujimwambafai huna lolote..
 
Daddy my ass!
Acha uzwazwa..utamtisha nan we mgambo ulokosa kirungu cha lindo..
Kuropoka siri zisizokuhusu ni utopolo.
Ebu Leta ushahid vle umewapang hao watu kwny hko wanakopangilia hyo matendo?!..
Acha kujimwambafai huna lolote..

Sawa nimekuelewa. Kama Wewe ni mwanaume usiishie kupiga kelele kwenye mitandao, tukuone mtaani pengine tutaheshimiana.

Mnataka kuvunja amani ya nchi kwa maslahi ya wachache.

Uchaguzi Umeisha, Mkafanye kazi. Period.
 
Kama wanaamini umma unaunga mkono huo ushindi, kwa nn wasiache wananchi waandamane??
Na kwa nn wamezuia mitandao karibu yote, pamoja na free media Kama BBC swahili, DW, VOA, nk??!
Maandamano ya umma huwa hayazuiliki... ni kama mafuriko ya mto kipindi cha mvua. Ukiona maandamano yamezuilika ujue sio ya umma ila ni kikundi cha mtu fulani kinachotumika kutafuta shari
 
Ww ni zuzumaji...
Alokwambia anataka au kupanga kuandamana nani?!
My issue is totally different from what you've caught.

Af all you and whom can say?!.. Can you go back to your grammar teacher?!.. Usiandike ngeli km hauimudu [emoji23]... Wawez tukan buuure.
Mm sio mfuasi wa vurug wla maandamano mind yo big an unclossed bowl....
Matter of second my foot.

Utoke basi nyie si viburi. Tokeni that is all we can say hakuna aliyejaa upepo. Andamaneni and thank me later.

Au unataka tu block na Mkutano wenu wa Kesho. Tunawacheki Kwenye Darubini na spidi yenu tu .

........ anzisheni maandamano,
 
Sawa nimekuelewa. Kama Wewe ni mwanaume usiishie kupiga kelele kwenye mitandao, tukuone mtaani pengine tutaheshimiana.

Mnataka kuvunja amani ya nchi kwa maslahi ya wachache.

Uchaguzi Umeisha, Mkafanye kazi. Period.
Inaonekan upo kwny so called period af cjui ni wakiume vle.
Mtaani toka ww ulokosa kirungu cha lindo pengne wawez kipata..
Unatema matapishi unajidai mtu wa system mjinga mkubwa tn ufunge domo ucjikute pabaya kw ushabik maandaz wko nakujidai mshaur nasaa kwa ropo ropo zakiduanzi kuwa umewek watu wenu unaakil zakuarrange hyo mission taka ngumu ww.. Mxuur!..
Tuliza mshono wko mbichi usiharibikiwe zuzu ww
 
Ww ni zuzumaji...
Alokwambia anatak au kupang kuandaman nan?!
My issue is totally different from what you've caught...
Af all you and whom can say?!.. Can you go back to your grammar teacher?!.. Usiandike ngeli km hauimudu [emoji23]... Wawez tukan buuure.
Mm sio mfuasi wa vurug wla maandamano mind yo big an unclossed bowl....

Nadhani tumeshaelewana. Kila la Kheri.
 
Inaonekan upo kwny so called period af cjui ni wakiume vle.
Mtaani toka ww ulokosa kirungu cha lindo pengne wawez kipata..
Unatema matapishi unajidai mtu wa system mjinga mkubwa tn ufunge domo ucjikute pabaya kw ushabik maandaz wko nakujidai mshaur nasaa kwa ropo ropo zakiduanzi kuwa umewek watu wenu unaakil zakuarrange hyo mission taka ngumu ww.. Mxuur!..
Tuliza mshono wko mbichi usiharibikiwe zuzu ww

Halafu napata shida kusoma unachoandika.

Maana unaandika kama vile mtoto wa form 2.

Umri huo unaandika maneno kama;
cjui
vle
Wawez

Yaani umepata bahati sana kuchati na mimi. Hope utakuwa umejifunza kitu kutoka kwangu.

Uandishi wako tells me ninachati na SMALL MIND. Pole na kila kheri.
 
Wabongo wengi wanategemea amani ya kupakuliwa kwenye sahani so twenzetuni.
 
Kumbe mnajua.. basi tulieni tuli
Haha bado kidogo utaona watanzania wake kwa waume nakuomba vibali kufanya maandamano ya kumpongeza John Pombe Magufuli
Utashangaa na kustaajabu kwa pamoja hahahaaaa
 
Back
Top Bottom