Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dikiteta alikuwa anatisha hadi nyalandu karudi ccmMwenye akili timamu hawezi kukaa meza moja na Lissu
Kwani uongo?Si mlisema Nyarandu hataki kumlamba Magufuli viatu?
Hapana unajikosha mkuu.Wapi nimesema mwendazake alithibiti wizi na ufisadi?
Nimesema au kumaanisha kuwa Nyarandu na wenzake wanao hama toka cdm kule cdm walikosa nafasi ya kuendeleza ufisadi.
Sasa wameona hakuwafai maana cdm hakuna watu wafisadi sasa wameamua wawafuate kichakani
Kwa CAG hakuna ufisadi labda matumizi yasiosahihi. Lakini kilichofanyika kinaonekana.Kipindi cha miaka 6 ufisadi ndiyo umefanyika wa kuvunja rekodi kwa mujibu wa report ya sag
Kama unaamua kuandika unavyotaka wewe sawa ila awamu ya 6 ufisadi umevunja recordKwa CAG hakuna ufisadi labda matumizi yasiosahihi. Lakini kilichofanyika kinaonekana.
Alafu hawa mahinterahamwe wa lumumba wanakenua menoNyalandu alikimbia ukatili wa Magufuli,sasa kwa kuwa huyu katili hayupo tena duniani basi ni haki yake kurudi kwani huku Chadema alikuja kupata hifadhi ya kisiasa tu.
CCM hakuna mzimaKwahiyo mleta uzi kwa mbwembwe kaangukia pua!
Kwani hujui huyo ni pandikizi tu lililotoka CCM sasa limerudi nyumbani.Mi upinzani wa Tanzania hata siuelewagi asee[emoji848][emoji848]
Sasa hii ni nini
Alikimbia udikiteeta ulio kithili wa dikiteeta wenu na baba yenuHapana unajikosha mkuu.
Kwani unadhani kwa nini alihama wakati wa Mwendazake..? Akaja huko.
Lakini nyie, kupaka matope wanaotofautiana nanyi kawaida yenu...!
Hiki ndio wewe unakisema. Yaani wewe ndio umeamua kupaka matope unavyotaka..!Kama unaamua kuandika unavyotaka wewe sawa ila awamu ya 6 ufisadi umevunja record
Umeonaeeeeeeeeeee!!!!CCM hakuna mzima
Basi kata rufaa ili report ya CAG itenguliwe ili muandike yenu kama baba yenu alivyo wazoezaHiki ndio wewe unakisema. Yaani wewe ndio umeamua kupaka matope unavyotaka..!
Ila ukweli ndio huo.
Kwa mujibu wao hawa machadema wanasema mama anawakaanga mataga!CHADEMA TAFADHALI MSIPOROMOSHE MATUSI KWA MAMA ENDELEENI NA UPENDO ULE ULE MLIOMUONYESHA TANGU SIKU YA KWANZA, MSIBADILIKE KWA SABABU YA NYALANDU. MAMA KASEMA NA BADO KUNA MVUA INAKUJA YA UHAMISHO. 19 LOADING..........................
Nyalandu na wabaaishaji wengine waliohama CCM kwa kutafuta vyeo mwalimu Nyerere aliwaita MALAYA WA KISIASA TU.....!!!Jamani changieni tu maana yametokea mengi mi sichangii, kwani Nyalandu amefungua mpaka maandiko ya Biblia kumsindikiza yakiwa na maana kule ugenini ngoma hazichezeki.
Si kweli alishindwa kupiga dili baada ya kudhibitiwa vilivyo. Pia alidiscolify kupata uteuzi kulingana na ufisadi wale wa kipindi cha nyuma. Ikabidi ndio atafute chaka. Na nyie bila hiyana mkapokea mtu kaa yeye..!Alikimbia udikiteeta ulio kithili wa dikiteeta wenu na baba yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa Sugu ndiye tajiri pekee aliyebakia Chadema!