Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Huwa nashangaa unakuta mtu kashupaza shingo hadi matusi eti ili kumtetea mwanasiasa.

Ndio maana mie nasema hata kina Halima wakomae tu waendelee kula hela bungeni maana watz hatujitambui hata wakisema wakae njaa ili kutupigania hakuna watakachopata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CHADEMA TAFADHALI MSIPOROMOSHE MATUSI KWA MAMA ENDELEENI NA UPENDO ULE ULE MLIOMUONYESHA TANGU SIKU YA KWANZA, MSIBADILIKE KWA SABABU YA NYALANDU. MAMA KASEMA NA BADO KUNA MVUA INAKUJA YA UHAMISHO. 19 LOADING..........................
 
Ndivyo ninavyosikiliza hapa nikiwa Live kutoka Dodoma.

===
Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM ulifanyika Dodoma.

Nyalandu aliwahi kuwa mtia wa kugombea urais kupitia Uchaguzi Mkuu 2020 kupitia CHADEMA. Ambapo katika hotuba yake ameshukuru kwa kumpokea.

Amesema katika nchi ya Ugenini wimbo hauimbiki.

View attachment 1768953
Wimbo
 
Hapa ndio imani kwa Mbowe inapozidi kuongezeka. Angalia watu wote ambao kwa namna moja au nyingine walitaka kuleta "mabadiliko" CHADEMA wako wapi leo.
 
Nampongeza Nyarandu ni kiongozi mzuri na mbunifu mkubwa sana kwenye mtendaji.
 
Haa ni wewe Mkuu Mmawia.

Mbona mlisema Mwendazake hakufanikiwa kudhibiti wizi na ufisadii..?
Wapi nimesema mwendazake alithibiti wizi na ufisadi?

Nimesema au kumaanisha kuwa Nyarandu na wenzake wanao hama toka cdm kule cdm walikosa nafasi ya kuendeleza ufisadi.

Sasa wameona hakuwafai maana cdm hakuna watu wafisadi sasa wameamua wawafuate kichakani
 
CHADEMA ACHANENI NA SIASA HAMJAKOMAA, AFADHALI CHAMA CHA MZEE WA UBWABWA SIKU ZOTE YUKO KABAKI NJIA KUU. KUNA MWALIKO Mama kawaalika mjiandae kwenda Ikulu msisuse. Tuliwaambia kukesha mkitukana HAYATI MLIJITAKIA, CCM WANA JAMBO LAO KWENU KWA KUMDHALILISHA HAYATI. NA BADO NDIYO KWANZA CCM KAKUNJUA MAKUCHA HADI MUOMBE POOO
 
Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.

Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.

Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.

Kazi Iendelee!
Nyalandu ni ccm,chadema alikuja kutafuta fursa atoke vip
 
Ila BAVICHA siwaelewi kipindi Magu yupo walilalama wanarudi wanaanza kusema ufisadi..? [emoji20][emoji2379]
Kipindi cha miaka 6 ufisadi ndiyo umefanyika wa kuvunja rekodi kwa mujibu wa report ya sag
 
CHADEMA TAFADHALI MSIPOROMOSHE MATUSI KWA MAMA ENDELEENI NA UPENDO ULE ULE MLIOMUONYESHA TANGU SIKU YA KWANZA, MSIBADILIKE KWA SABABU YA NYALANDU. MAMA KASEMA NA BADO KUNA MVUA INAKUJA YA UHAMISHO. 19 LOADING..........................
Hao 19 tushasapa, halafu ujue hakuna mwanaccm aliyekuzwa aliyedumu upinzani
 
Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.

Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.

Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.

Kazi Iendelee!
😂😂😂😂😂
 
Hivi kuna MwanaCDM yeyote amewahi kuhamia chama kingine kwa utashi wake halafu akarejea tena CDM?
 
Back
Top Bottom