At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Si wajibu wangu.Basi kata rufaa ili report ya CAG itenguliwe ili muandike yenu kama baba yenu alivyo wazoeza
Muda utasema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wajibu wangu.Basi kata rufaa ili report ya CAG itenguliwe ili muandike yenu kama baba yenu alivyo wazoeza
Mmawia siyo tajiri? [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa Sugu ndiye tajiri pekee aliyebakia Chadema!
Wakampokea?Nyalandu ni ccm,chadema alikuja kutafuta fursa atoke vip
Kwahiyo leo hii mnafanya sherehe ya kumpokea mpiga dili?Si kweli alishindwa kupiga dili baada ya kudhibitiwa vilivyo. Pia alidiscolify kupata uteuzi kulingana na ufisadi wale wa kipindi cha nyuma. Ikabidi ndio atafute chaka. Na nyie bila hiyana mkapokea mtu kaa yeye..!
Kwani anamzidi Trump?Bilionea Nyalandu uteuzi wa nini tena?
Mimi hao siko nao.Kwahiyo leo hii mnafanya sherehe ya kumpokea mpiga dili?
Kilichoandikwa hakipotei kuwa awamu ya 6 ilikithili kwa ufisadiSi wajibu wangu.
Muda utasema.
Hahahaaaa...... Mmawia ameajiriwa kwenye kiduka cha Suleiman Methew pale Lindi!Mmawia siyo tajiri? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, hasa chadema siku zote huwa hawajielewi.Mi upinzani wa Tanzania hata siuelewagi asee[emoji848][emoji848]
Sasa hii ni nini
Sawa.Kilichoandikwa hakipotei kuwa awamu ya 6 ilikithili kwa ufisadi
Anamzidi kwa kutodaiwa!Kwani anamzidi Trump?
Vipi sasa hivi Nyarandu ni jembe siyo jembe?Kwani uongo?
Magufuli anaoza huko
Upo slow sana, kama hadi sasa hujagundua Tanzania hamna uhusiana wowote kati ya vyama vya siasa na sera ingekuwa hivyo EL, Nyalandu na wenzao wasingekaribishwa CDM ama kudhubutu kurudi CCM.Wapi nimesema mwendazake alithibiti wizi na ufisadi?
Nimesema au kumaanisha kuwa Nyarandu na wenzake wanao hama toka cdm kule cdm walikosa nafasi ya kuendeleza ufisadi.
Sasa wameona hakuwafai maana cdm hakuna watu wafisadi sasa wameamua wawafuate kichakani
kanunuliwa!Ndivyo ninavyosikiliza hapa nikiwa Live kutoka Dodoma.
===
Lazaro Nyalandu amerejea CCM akitokea CHADEMA. Amerejea Aprili 30 katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM ulifanyika Dodoma.
Nyalandu aliwahi kuwa mtia wa kugombea urais kupitia Uchaguzi Mkuu 2020 kupitia CHADEMA. Ambapo katika hotuba yake ameshukuru kwa kumpokea.
Kabla ya kurejea CHADEMA, Nyalandu alikuwa ni Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati
Amesema katika nchi ya Ugenini wimbo hauimbiki.
Mara hii?Kwani hujui huyo ni pandikizi tu lililotoka CCM sasa limerudi nyumbani.
Anatafuta tena chance ya kupakia twiga kwenye ndege.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana huwa anademka sana kumbe.Hahahaaaa...... Mmawia ameajiriwa kwenye kiduka cha Suleiman Methew pale Lindi!
Nyie CCM si ndiyo mlisema kuwa huyu ni mhujumu uchumi kwa kuuza Twiga wetu? Au hukumbuki Kigwangwala alisema atamshitaki huyo Nyalandu kwa kuuza Twiga wetu? Huyu tunajua alikuja Chadema kuomba hifadhi ya kisiasa akikimbia ukatili wa Magufuli, sasa ameona ni salama kwake kurudi huko kwa vile mtesi wake hayupo tena duniani hatuna neno naye tunamtakia maisha mema.Vipi huko kwa machadema ameacha nini sasa?
Vipi mtaendelea na zile harakati zenu kwamba ni mwizi?
Sisi yetu ni kusema mtanikumbukaNyalandu karudi kuendelea na biashara ya kubeba tembo kupeleka dubai