Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Wewe acha zako bhana! Nyarandu mkampa hadi uenyekiti wa kanda alafu unataka kusema nini hapa?
Lowassa alipewa mpaka kugombea urais, nini mwenyekiti wa chama huko maporini,na bado nilimponda vibaya, ndio itakuwa hiyo takataka iitwayo Nyalandu?