Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Akanyimwa kugombea urais maana ni tapeli kama lile zee Lowassa.
Sasa CDM mnakubalije kutapeliwa kila siku? Ni sawa na muislam safi kulishwa nyama ya kitimoto na kuambiwa baada ya kula kwenye nyumba moja zaidi ya mara 5, naye kila mara anawalaumu hao wenye nyumba!!! Mnalalamika kila siku kuhusu hao watu wanaotoka CCM, Mkiti wenu anawapokea, anawapa mavyeo makubwa makubwa, wanarudi CCM mnaendelea kulalamika! Tatizo lenu nini wajomba? Hivi hamuoni kuwa kuna shida kwenye kiti cha Mkiti?
 
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kurejea CCM mbele ya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu kupitia Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Dodoma leo, akitokea CHADEMA.
Mtukaneni kama mlivyokuwa mnamtukana
 
Mwambie Huyo tindo atulie, Siasa haihitaji mtu kuwa serious sana [emoji23]. It is like a game and we are the pieces
Huwa nashangaa unakuta mtu kashupaza shingo hadi matusi eti ili kumtetea mwanasiasa.

Ndio maana mie nasema hata kina Halima wakomae tu waendelee kula hela bungeni maana watz hatujitambui hata wakisema wakae njaa ili kutupigania hakuna watakachopata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baadhi ya wanasiasa wanachotaka si wanachomaanisha. Kwahivyo ni mgumu kuwaelewa.
 
Jamaa aliendaga hadi nje nchi, siasa ni rahisi when you got nothing to lose ni ngumu when you got to much to lose. No wonder Marshall Mathers apigi zile spana zake za early 2000[emoji23][emoji23]
Who is this?!
 
Watanzani tunajifunza nini kwa wanasiasa kama hawa?
Tuna matatizo makubwa sana nchini,kwani viongozi wengi hawapo kwaajili ya maendeleo ya wananchi ,Bali Ni watafuta utajiri kupitia Kodi za walalahoi.

Ndiyo maana utashangazwa na bajeti za wizara nyingi matumizi huzidi fedha ya miradi ya maendeleo
 
Unafki on fleek. Huyu aliahidi kabisa hakuna kitakachomfanya ahame CHADEMA. Duh kweli njaa hizi.

Au anataka akapandishe Twiga wengine ndege bila passport wala visa?
 

Attachments

  • VID-20210430-WA0005.mp4
    1.9 MB
Ni haki yake akae chama gani. Hiyo ndio demokrasia.

Huko CCM anaenda kupewa cheo maCCM yaliyopambana kuiba kura yatabaki yanashangaa tu.

SIASA NI SAYANSI.
 
Ukiwafuatilia sana wanasiasa unaweza kufa mapema sana kwa ugonjwa wa moyo.

Alichofanya Nyalandu ni katika kile kinachoitwa "kujitafutia mkate wake wa kila siku". Kila mtu ana mbinu zake na ni busara kutopangiana mbinu za kusurvive hapa duniani.

Muda si mrefu vyama karibia vyote vitapiga u-turn, vitaanza kumsifia Mama na kuunga mkono juhudi huku tukisahau kwamba mifumo hasa ya uchaguzi bado ni ileile na hatupaswi kubank hopes zote kwa mtu mmoja
Exactly
 
Ni haki yake akae chama gani. Hiyo ndio demokrasia.

Huko CCM anaenda kupewa cheo maCCM yaliyopambana kuiba kura yatabaki yanashangaa tu.

SIASA NI SAYANSI.
 
Ni haki yake akae chama gani. Hiyo ndio demokrasia.

Huko CCM anaenda kupewa cheo maCCM yaliyopambana kuiba kura yatabaki yanashangaa tu.

SIASA NI SAYANSI.
 
Mkutano mwingine Wa CCM kuchagua Chairman........! Hivi CDM mambo haya vipi? Kuna hatari Kizazi fulani hapa kitapita bila Kushuhudia Chairman tofauti na Bw. YULE
 
Ni haki yake akae chama gani. Hiyo ndio demokrasia.

Huko CCM anaenda kupewa cheo maCCM yaliyopambana kuiba kura yatabaki yanashangaa tu.

SIASA NI SAYANSI.
 
Back
Top Bottom