Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Tanzania huwa hakuna upinzani wala wanasiasa wa kweli, bali kuna wafukuzia fursa tu...
 
Hapana unajikosha mkuu.

Kwani unadhani kwa nini alihama wakati wa Mwendazake..? Akaja huko.
Lakini nyie, kupaka matope wanaotofautiana nanyi kawaida yenu...!
 
Kipindi cha miaka 6 ufisadi ndiyo umefanyika wa kuvunja rekodi kwa mujibu wa report ya sag
Kwa CAG hakuna ufisadi labda matumizi yasiosahihi. Lakini kilichofanyika kinaonekana.
 
Nyalandu alikimbia ukatili wa Magufuli,sasa kwa kuwa huyu katili hayupo tena duniani basi ni haki yake kurudi kwani huku Chadema alikuja kupata hifadhi ya kisiasa tu.
 
alafu kuna watu utasikia mwenyekiti anapaswa kuachia kiti wakati tunapambana miaka ya 90 wao bado wananyonya leo hawana hata msimamo wapiga kelele tu humu.
 
Nyalandu alikimbia ukatili wa Magufuli,sasa kwa kuwa huyu katili hayupo tena duniani basi ni haki yake kurudi kwani huku Chadema alikuja kupata hifadhi ya kisiasa tu.
Alafu hawa mahinterahamwe wa lumumba wanakenua meno
 
Mi upinzani wa Tanzania hata siuelewagi asee[emoji848][emoji848]

Sasa hii ni nini
Kwani hujui huyo ni pandikizi tu lililotoka CCM sasa limerudi nyumbani.

Anatafuta tena chance ya kupakia twiga kwenye ndege.
 
Hapana unajikosha mkuu.

Kwani unadhani kwa nini alihama wakati wa Mwendazake..? Akaja huko.
Lakini nyie, kupaka matope wanaotofautiana nanyi kawaida yenu...!
Alikimbia udikiteeta ulio kithili wa dikiteeta wenu na baba yenu
 
Kama unaamua kuandika unavyotaka wewe sawa ila awamu ya 6 ufisadi umevunja record
Hiki ndio wewe unakisema. Yaani wewe ndio umeamua kupaka matope unavyotaka..!

Ila ukweli ndio huo.
 
Hiki ndio wewe unakisema. Yaani wewe ndio umeamua kupaka matope unavyotaka..!

Ila ukweli ndio huo.
Basi kata rufaa ili report ya CAG itenguliwe ili muandike yenu kama baba yenu alivyo wazoeza
 
CHADEMA TAFADHALI MSIPOROMOSHE MATUSI KWA MAMA ENDELEENI NA UPENDO ULE ULE MLIOMUONYESHA TANGU SIKU YA KWANZA, MSIBADILIKE KWA SABABU YA NYALANDU. MAMA KASEMA NA BADO KUNA MVUA INAKUJA YA UHAMISHO. 19 LOADING..........................
Kwa mujibu wao hawa machadema wanasema mama anawakaanga mataga!

Hawa jamaa hawanaga akili
 
Jamani changieni tu maana yametokea mengi mi sichangii, kwani Nyalandu amefungua mpaka maandiko ya Biblia kumsindikiza yakiwa na maana kule ugenini ngoma hazichezeki.
Nyalandu na wabaaishaji wengine waliohama CCM kwa kutafuta vyeo mwalimu Nyerere aliwaita MALAYA WA KISIASA TU.....!!!
 
Alikimbia udikiteeta ulio kithili wa dikiteeta wenu na baba yenu
Si kweli alishindwa kupiga dili baada ya kudhibitiwa vilivyo. Pia alidiscolify kupata uteuzi kulingana na ufisadi wale wa kipindi cha nyuma. Ikabidi ndio atafute chaka. Na nyie bila hiyana mkapokea mtu kaa yeye..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…