Lazaro Nyalandu wa CHADEMA amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dkt. Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.
Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.
Kadhalika mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Lindi Dkt. Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.
Kazi Iendelee.
Hawakumtosa, ni kwasababu tu Lissu alikuwepo, kama angekua mwwnyewe angepeperusha bendera ya ChademaNdio maana chadema walimtosa kumpa nafasi ya kugombea urais na hata hamna cha maana alichokifanya alipokua huko chadema......
Achana nalo Hilo!Hahahha.. Utapanic sana..
Unaonaje jinsi Smaia anavyowakomesha mataga
Ni msaliti tu mwizi mwizi alimkimbia Magu sasa kaona kuna gap anataka akasafirishe wanyama Dubai.Kwahiyo sasa hivi Nyarandu unamtafsiri vipi?
Daaah wewe cha tuMwizi karudi baada ya kuona mlinzi kaondoka.
Mmeshindwa kuwa na taasisi Imara halafu unadhani katiba ndiyo ije iimarishe Chama chenu?
Katiba haina uhusiano na M/kiti Chama chako, haina uhusiano kabisa na maswala yenu ya ndani ya Chama, katiba inahusu mambo ya nchi kisheria, Pambane na Chama chenu
Uliwahi kutamka haya akiwa chadema?Fisadi limerudi kwa mafisadi wenzake.
Kwahiyo chadema ilitaka impeleke mwizi ikulu?Ni msaliti tu mwizi mwizi alimkimbia Magu sasa kaona kuna gap anataka akasafirishe wanyama Dubai.
Hivi Salum Mwalimu yupo?Chama cha kikanda hicho, ntawashanga akina salum mwalimu, lissu n.k wakiendelea kukaa pale
Kigogo aliwashasema tangia zamani bado Salum Mwalimu tu.
CDM kinachoiua ni uongozi mbovu na busara ndogo ya kushughulikia mambo lakini pia kujua namna ya kuemdesha siasa komavu siyo za harakati. Hawajifunzi hata cov 19 wote wanakwenda CCM soon.Mwenye akili timamu hawezi kukaa meza moja na Lissu
Lini aliwekwa kuwa mgombea urais?Kwahiyo chadema ilitaka impeleke mwizi ikulu?
Machadema hayajitambui....Huyu ndo alitaka kugombea urais Chadema, kweli tuna safari ndefu sana.
Lazaro Nyalandu wa CHADEMA amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dkt. Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.
Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.
Kadhalika mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Lindi Dkt. Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.
Kazi Iendelee.
Fuatilia Lisu kwenye kura za maoni akishindana na naniLini aliwekwa kuwa mgombea urais?