Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Fisadi limerudi kwa mafisadi wenzake.
 
Sawa kabisa
 
Chama cha kikanda hicho, ntawashanga akina salum mwalimu, lissu n.k wakiendelea kukaa pale
 
"Wale waliotuteka walituambia tuwaimbie wimbo wa Bwana, nasi tukawajibu tutaimbaje wimbo wa Bwana katika nchi ya utumwa ?" Lazaro Nyarandu wakati akirejea CCM leo katika mkutano mkuu wa CCM uliompitisha Mh Raisi Samia Suluhu Hassani kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa. Akisisitiza usemi huo Nyalandu amesema wimbo wa Bwana hauimbiki katika nchi ya ugeni.
 
Mwenye akili timamu hawezi kukaa meza moja na Lissu
CDM kinachoiua ni uongozi mbovu na busara ndogo ya kushughulikia mambo lakini pia kujua namna ya kuemdesha siasa komavu siyo za harakati. Hawajifunzi hata cov 19 wote wanakwenda CCM soon.
 


FURSA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…