Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
😂😂😂😂 Muda unaongea lugha nyepesi sana kuelewa.Nyumbu hao 🤣🤣🤣!
Halafu hivi bado tu hujagundua kwamba hata hao nyumbu ni wapenzi wa CCM?
Hakuna upinzani Tanzania hii. Si vyama, si wafuasi!
Wengine ni CCM kwa kujitambua ila wengine [kama huyo nyumbu] ni CCM kwa kutokujitambua [unwittingly].
Ha ha ha.