Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu wa CHADEMA amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dkt. Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake..
Njaa mbaya sana! Njaa haimshindwi mtu, ni suala la muda tu! Kinachokera hawataki kusema ukweli!! Nyalandu umerudi kwa wazazi wako wa kisiasa kiri kuwa huko nje njaa kali!!

Hivi watu wazima unatudanganya eti ulilazimishwa kumwimbia bwana mmoja? Wewe ndio wa kulazimishwa? Umaskini jeuri mgumu! Uliondoka ccm kwa jeuri sawa na mwana mpotevu!!

Kama vile njaa ilivyomrudisha mwana mpotevu kwa baba yake hali kadharika njaa imemrudisha Nyarandu CCM! Ila kama alivyosema JPM, hao ni ng'ombe waliokatwa mkia!! karibuni nyumbani ila kila tukiwaona hamna mkia tunakumbuka mliwahi kutukimbia!! Tutawaamini waliobaki nasi kwa majukumu mbali mbali kwanza kabla ya kuwatazama ninyi! huo ndio ukweli!!!

Ndio maana hata kina Mpenda Zoe bado wanasota!! na wameshaanza kusahaulika!! Hivi mnafikiri joka la makengeza limetulia pamoja na kusemwasemwa mnadhani Halina akili? Mzazi akikusema Shakuru!! Hamna pa kukimbilia!
 
kwani mkuu unaposema maendeleo tutachelewa sana uliambiwa kuwa maendeleo yapo CHADEMA? umefeli sana CCM baba lao
Mkuu hawa wanasiasa regardless awe CCM/ACT - MAENDELEO/CHADEMA/CHAUMA n.k ndio tegemeo letu sie ambao sio wanasiasa katika kutuletea maendeleo. Hivyo basi pale tunapowaona wanayumbayumba ndio tupokuwa na wasiwasi juu ya maono na msimamo yao KISIASA.
 
Mkuu, hata mimi nimeshindwa kuwaelewa wanasiasa wetu. Hawana utofauti kati ya wasomi na ambao sio wasomi, halikadharika na vyama navyo havinautofauti kwamba hiki ni kikongwe na hiki ni kichanga kwa maana kwamba kikongwe kionyeshe udhabiti wa kusimamia...
Maendeleo yapo bhana acha uongo, maneno ya mkosaji hayo. Nyalandu ka declare interest kwamba yeye ni ccm na ccm ina wenyewe. Shida iko wapi?

Chadema badala ya kujenga chama wametumia siku 40 kumtukana hayati. Acha laaaaaaaaana iwatafune nyie.Wale 19 loading. Halima kashika makali, mguse anuke hahahahahaaaa
 
Maendeleo yapo bhana acha uongo, maneno ya mkosaji hayo. Nyalandu ka declare interest kwamba yeye ni ccm na ccm ina wenyewe. Shida iko wapi????.Chadema badala ya kujenga chama wametumia siku 40 kumtukana hayati. Acha laaaaaaaaana iwatafune nyumbu nyie.Wale 19 loading. Halima kashika makali, mguse anuke hahahahahaaaa
da mkuu wamesikia tena wakome kabisa kucheza na CCM 19 loading.

Hahahahaaa
 
Back
Top Bottom