Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu niache kwanza niingie kwenye kikao hapa chadharura.
Kimeumana
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu niache kwanza niingie kwenye kikao hapa chadharura.
Mkuu Lu-Ma-Ga, comment yangu nimezungumzia wanasisa na vyama, kwamba ufiki wakati wanasiasa na vyama vyao wawe serous katika utendaji wa kazi zao. Kwa asilimia kubwa KATIBA YA NCHI YEYOTE inalenga udhibiti wa siasa.Maendeleo yapo bhana acha uongo, maneno ya mkosaji hayo. Nyalandu ka declare interest kwamba yeye ni ccm na ccm ina wenyewe. Shida iko wapi????.Chadema badala ya kujenga chama wametumia siku 40 kumtukana hayati. Acha laaaaaaaaana iwatafune nyumbu nyie.Wale 19 loading. Halima kashika makali, mguse anuke hahahahahaaaa
Kumbe Mbowe alikula milions kadhaa za Lowassa, na kumbe ndio sababu hatya kumnadi Lissu alishindwa kwasababu ilikuwa sawa na kujitolea kanisani?
tindo nimefurahishwa na jinsi unavyomwaga nondo zako hapa!
ETI HASIRA ZAO NI MAGUFURI. WANACHEKESHA HAWA. KUNA MTAJI MZURI KWA WALE WADADA, WACHA TUMALIZE ZEGE LA LEO MAMA TAIFA KASEMANashangaa leo hawajaimba pambio[emoji1787][emoji1787]
Ila CDM wanachekesha sana,nacheka kama chizi hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Du ndiyo maana CCM inazidi kutawala. Hivi wewe ulikuwa hujajua huyu jamaa anashughulikia tumbo lake tu? Hivi unaona kuna mpinzani hapo? He is very corrupt na ni mtu wa kutumbua maisha tu. Hapo ameshapiga hesabu akaona anaweza kupewa tena cheo ili apate ulaji.nyalandu kumbe ni opportunist.
Tuendelee kuwaamini sanaWatanzani tunajifunza nini kwa wanasiasa kama hawa?
When it comes to politics ccm is always namba one, uliza malawi, zambia, afrika kusini zimbabwe angola na msumbiji they know what ccm is. AraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHalima ndio anaenda kuangusha kile kipande kilichobaki!!
jengeni upya Chama linazama sasa
Naona umeishiwa hoja ndio maana unasishia kuchomeka maneno yako ili kubeba Utetezi wako dhaifu. Ni wapi nimeweka neno kupendwa? Jitahidi kutenganisha neno kumpenda na kuwa na mvuto, ukiweza kupata tofauti ya hayo maneno nitag niendelee kukulambisha mchanga.Walikuwa hawampendi?
Hivi unamoitishaje mtu ambae humpendi ashindane kwenye kinyang'anyiro cha urais?
Vipi kama hizo hela zake zingefua dafu kama kwa Lowasa..?
hata kama tulisema, Sasa hapo alikuwepo MWENDAZAKE mlambwa viatu? huenda wewe ni wale wazee mpaka leo wanaofikiri Rais ni Baba wataifaSi mlisema Nyarandu hataki kumlamba Magufuli viatu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]AHAHAHAHA LEO IRON LADY KAWAPA ZA USO NA AMEAHIDI BADO MVUA INAKUJA YA LOBO.HALIMA &CO, LOADING...................................MTAJIBEBA
Mmepigwa cha ndimu!hata kama tulisema, Sasa hapo alikuwepo MWENDAZAKE mlambwa viatu? huenda wewe ni wale wazee mpaka leo wanaofikiri Rais ni Baba wataifa
Bora wewe unaongea ukweli pasi na kuongozwa na ushabiki.Hujafurahishwa na nondo zangu maana kila siku naweka Nondo hapa. Sema leo naongea ukweli usiokumuuza. Ni hivi toka mwanzo chaguo la Mbowe haikuwa Lisu bali Nyalandu maana alikuwa na maslahi naye binafsi.
Ni nguvu tu ya wanachama ilimzidi Mbowe baada ya ile blunder ya Lowassa 2015. Hilo la kwamba Mbowe alikuwa anamtaka Nyalandu na sio Lisu kwasababu zake binafsi nimelisema sana humu.
Na sio hapo tu, hata Mbowe kwa sasa hakustahili tena kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm kwani wakati ukuta.
Kamati kuu ilimpitisha kwenda kushindana na lisu kuwania urais.Naona umeishiwa hoja ndio maana unasishia kuchomeka maneno yako ili kubeba Utetezi wako dhaifu. Ni wapi nimeweka neno kupendwa? Jitahidi kutenganisha neno kumpenda na kuwa na mvuto, ukiweza kupata tofauti ya hayo maneno nitag niendelee kukulambisha mchanga.
Badala kujenga chama kinafifia,walikuwa busy kupambana na marehemu[emoji23][emoji23]ETI HASIRA ZAO NI MAGUFURI. WANACHEKESHA HAWA. KUNA MTAJI MZURI KWA WALE WADADA, WACHA TUMALIZE ZEGE LA LEO MAMA TAIFA KASEMA
Majukwaa mengine huzipendi?[emoji1787]Napenda comment zako kwenye politics
Huyu babu ni mzee wa fursa naye hana jipya, kwenye chama mtu anayewahi kutoa taarifa za CHADEMA na posho yake inakuwa kubwa kidogoMbona una haraka ya kupost hata mtu hajamaliza kuongea daaah