mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Umeelewa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnaogopa kuweka tume huru ya uchaguzi na wakati CHADEMA ni mfu?Badala kujenga chama kinafifia,walikuwa busy kupambana na marehemu[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
ACT waliingia kwenye mtego sababu Zitto ni mtu wa maslahi naye kama akina HalimaBado yule jasusi mbobezi
Mkuu tindo Nahitaji maoni yako katika hili........Naona umeishiwa hoja ndio maana unasishia kuchomeka maneno yako ili kubeba Utetezi wako dhaifu. Ni wapi nimeweka neno kupendwa? Jitahidi kutenganisha neno kumpenda na kuwa na mvuto, ukiweza kupata tofauti ya hayo maneno nitag niendelee kukulambisha mchanga.
KWANI ukiandika taratibu utakamatwa?hime ndio wapi?
Urasi wa saccos ama, chama cha mfukoni kwa mtu ni punguani pekee wanaweza kukaa kwenye hilo genge.Huyo alishaonyesha dalali hivyo hatushangai.
Uzuri alitoswa kugombea uraisi.
KWANI ndio anaenda kumlamba?hivi unafikiri covid isingefanya yake angerud huyu[emoji23]Si mlisema Nyarandu hataki kumlamba Magufuli viatu?
Kwamba ikishinda tume inakuwa huru,isiposhinda inakuwa siyo huru au siyo?Mbona mnaogopa kuweka tume huru ya uchaguzi na wakati CHADEMA ni mfu?
Kwa nini hamtaki tume ambayo ni independent?Kwamba ikishinda tume inakuwa huru,isiposhinda inakuwa siyo huru au siyo?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Si mnasema sasa hivi tume ni huru kwa sababu dikteta kaondoka ndio maana mmeungana na ccm kudemka mkimsifu Samia?Kwa nini hamtaki tume ambayo ni independent?
SawaSi mnasema sasa hivi tume ni huru kwa sababu dikteta kaondoka ndio maana mmeungana na ccm kudemka mkimsifu Samia?
Utajiri wa Chama na wanachama na wananchi wengine wanaokiunga mkonoKwa sasa Sugu ndiye tajiri pekee aliyebakia Chadema!
Tunajifunza kwenba uanachama Chadema ni kupoteza muda.Watanzani tunajifunza nini kwa wanasiasa kama hawa?
Mkuu.. Ndebile fuatilia utaona kila kitu jamaa alitoa angalizoKigogo alitoa angalizo mapema kbs mwaka huu kuhusu jamaa na details zote, hapa ni hitimisho tu
Kachero hakuwa na jinsi baada ya Bashiru na Bulicheka Polepole kumfanyia figisu hakuwa na jinsi. Ila huyu Nyalandu alimkimbia JPM.Kama nakuona Membe around......[emoji849]
TUAMBIE WAPI ULIWAHI KUONA TUME HURU, TUME ZOTE ZINAWEKWA NA BINADAMU USITEGEMEE UHURU.KATIBA MPYA MLIKIMBIA TUKAPOTEZA BILIONI 50Mbona mnaogopa kuweka tume huru ya uchaguzi na wakati CHADEMA ni mfu?
Nimekutukana tusi kubwa sn sema sijaliandika hapaTUAMBIE WAPI ULIWAHI KUONA TUME HURU, TUME ZOTE ZINAWEKWA NA BINADAMU USITEGEMEE UHURU.KATIBA MPYA MLIKIMBIA TUKAPOTEZA BILIONI 50
Na soon anateuliwa ubunge anadandia uwaziri kazi unaendelea !! Na hivyo vitendea kazi safari vimenunuliwa kitu inaenda moja kwa moja gwanzuuMwizi karudi baada ya kuona mlinzi kaondoka.