Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Kumbe Mbowe alikula milions kadhaa za Lowassa, na kumbe ndio sababu hatya kumnadi Lissu alishindwa kwasababu ilikuwa sawa na kujitolea kanisani?Inaonekana hujawahi kupitia nyuzi zangu vizuri, hilo la kwamba Lowassa alihonga ili apewe nafasi ya kugombea urais halina mjadala, na nimekuwa nikilisema mara kibao. Sina uhakika na kiwango, ila alihonga...
tindo nimefurahishwa na jinsi unavyomwaga nondo zako hapa!