Lowasa Hakuisimanga ccm kivipi, we hukumbuki kipindi alipoingia chadema alisema ccm si baba yake wala mama yake?Ndiyo maana naamini kuwa kati ya wanasiasa wenye hekima, Lowasa ni miongoni.
Aliondoka CCM, hakupoteza muda wake kuisimanga CCM. Alitoka CHADEMA, hakupoteza muda kuisema.
MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU, ATAMDHARAU MWANASIASA YEYOTE ANAYEJIFANYA KUANZA KUELEZA MADHAIFU YA CHAA CHAKE CHA MWANZO BAADA YA KUONDOKA AU KUONDOLEWA.
Ila hawa jamaa wametufunza pakubwa sana
Ngoja aanike ukanjanja wa happo ufipani mpaka tujue nani aliyechonga vilevikaratasi na kuvisambaza eti kulaNi oora agekaa kimya kulinda heshima yake, lakini kubwabwaja ni ishara ya kuonyesha ni jinsi gai usaliti wake unamtesa! Msaliti i msaliti tu hata angejisafisha na kuchafua wengie kwa kiasi gani!
MBONA UNAWEWESEKA DADA YANGUU?? NA BADOOOHiyo tv station wataangalia majuha tu maana ni pacha na tbc
Hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.....kama wasitukabidhi tunachostahili tutakichukua kwa mikono yetu......Ni kweli, hivyo ndio inavyotakiwa iwe, ila watanzania 80%+ ya wapiga kura hawachagui kwa kuangalia sera, bali ushabiki, rushwa, vitisho na mazoea. Ukisema mtu anasema amechaguliwa kwa sera zake, basi ujue ni porojo kama porojo nyingine. Mfano ule uchaguzi wa kihayawani uliopita, unaweza kusema ilikuwa ni kwa ajili ya sera? Na kwa bahati Precidence aliyetengeneza Magufuli ya kushinda uchaguzi kwa kuunajisi, itachukua muda kuondoka maana ccm imeshapoteza ushawishi kwa umma, na haiko tayari kuachia madaraka kidemokrasia.
Sijamtaja mtu jina nimesema tu mwanasiasa.....Lazaro nyalandu ameongozwa na ajenda gani kurudi ccm zaidi ya maslahi binafsi?
Bwashee hata ukiwaambia hawasikii.Si unakumbuka Mzee Lowassa aliwaambia waache uanaharakati waingie kwenye siasa za hoja, agenda,sera,na kujiandaa kukamata dola,matokea yake aliambulua vitusi chungu nzima.Kwa nini hayo madhaifu asingewaambia hao CHADEMA kabla ya kutoka huko ili kuwapa mbinu za kuwakabili wapinzani wao, mpaka asubir abadili Chama zen ayaanike hadharani?? Yatasaidia nini?
Asituchoshe!
CCM linapokuja suala la wizi wanakua kitu kimoja, sijawahi kuona wezi wenye umoja kama hawa jamaaMaccm kumejaa wanafiki na waongo waliokubuhu Mkuu na bila Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi hawa wahuni wataendelea kuiyumbisha nchi yetu kwa miaka sana ijayo.
Kilichomtoa ccm kwenda chadema alikisema alipokua anaenda chadema , wakati huu ni wakuongelea kilichomtoa chadema kwenda ccm.Kabla ya kuongelea hayo atueleze kilichomtoa CCM na kuhamia Chadema.
Hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.....kama wasitukabidhi tunachostahili tutakichukua kwa mikono yetu......
CCM linapokuja suala la wizi wanakua kitu kimoja, sijawahi kuona wezi wenye umoja kama hawa jamaa
Angetulia tu Nyalandu,anajidhalilisha.Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.
Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.
Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.
Kazi Iendelee!
Sawa wekeni uchaguzi wa haki msitumie dola muone udhaifu waoAmedai Chadema ni dhaifu sana!
Umasahau kuwa kilichomuoandoa CCM ni wale Twiga, na sasa anaona anaweza kupata pumzi tena? Huyu jamaa alikimbia Iowa bila hata kumaliza shule kwa vile alikuwa na kesi ya FBI lakini akapata connection ya kuwa karibu na mama Anna Mkapa ambaye alimhifadhi kufuta kesi ile. Jamaa anajua sana kutumia opportunities!Nyarandu kamanda mtiifu wa CDM kaiacha Chadema,ama kweli,,siasa' si hasa",,,!
Sema mi naona kama ni utoto unapoamua kuondoka kwenye mahusiano au kuvunja mahusiano/ndoa halafu unaenda kuzungumza mabaya ya yule uliekua nae kwenye mahusiano, kwa kifupi that is childish, unapoamua kuachana na mtu, achana na yote move, fungua kurasa mpya kwa sababu hata wewe una kasoro nyingiAliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya kati na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mh Nyalandu kesho 3/5/2021 asubuhi atazungumza na taifa kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na runinga ya Clouds.
Wananchi wote mnaombwa kufuatilia ili muyselewe madhaifu ya upinzani na hasa Chadema na kwanini CCM itaendelea kutawala kwa miaka 50 ijayo.
Maswali na hoja zenu zitajibiwa na mwanasiasa huyu nguli na aliyetegemewa sana na Chadema.
Kazi Iendelee!