Tetesi: Lazaro Nyalandu na Mzee Lowassa kupeleka mapendekezo kwenye kamati kuu ya CHADEMA kuhusu ukomo wa nafasi ya mwenyekiti.

Nyoko zako!!
 
Ila hii imekaa kama vile umeitunga tu!!!!🙄🙄🙄
Taarifa hii siyo ya kweli.ndugu wanajf,taarifa hii ni y kupuuza kwani haina ushahid ama vielelezo vyovyote.waliongea lini? Kwa misingi ipi? Na cha kushangaza mtoa taarifa yeye kama nani?? Huu ni uongo wa waziwazi .huyu ni msukule wa Lumumba.
 
Kasome katiba yenu kwanza au waombe wajuzi wakutafutie na wakuonyeshe kipengele cha muda wa ukomo wa Mwenyekiti huko kwenu. Baada ya hapo ndio uje na tungo za kwenye njozi zako.
Mweee, mnamwogopa Mbowe mpaka mnakuwa na ugonjwa wa Mfalme Jiwe.
 
Nafasi ya uenyekiti haijawahi kuchezewa hapo Chadema, inafahamika kabisa kabisa.
 
Kajifunze tena PROPAGANDA
 
Sio mbaya kichama ila kiprotoko ni mbaya kwa mtu fulani
 
Mbinu hizo hata watoto wa chekechea walishazichoka.
Hii lijamaa halijui hata kutengeneza uongo,kwa maana hiyo elimu yake ni ya ndio mzee.katumwa na jiwe ili ahalibu chadema.kamwe kamwe !!chadema inatikisa nchi nzima.chadema ni mpango wa mungu na çcm ni mpango wa shetani .
 
Tuoneshe ccm kuna kifungu gani kinazungumza ukomo wa mwenyekiti?

Charity begins at home.
 
Kasome katiba yenu kwanza au waombe wajuzi wakutafutie na wakuonyeshe kipengele cha muda wa ukomo wa Mwenyekiti huko kwenu. Baada ya hapo ndio uje na tungo za kwenye njozi zako.
Mweee, mnamwogopa Mbowe mpaka mnakuwa na ugonjwa wa Mfalme Jiwe.
Mkuu kuwa mpole anayepeleka ni Mh LOWASA
 
Safi sana makamanda Lowasa na Nyalandu.
Kwa kuwa Chadema inajali democrasia bila shaka watasikiliza mawazo yenu na kuyafanyia kazi.

Itapendeza mno siku moja Nyalandu kijana msomi kutoka Ilboru na USA kuwa mwenyekiti wa Chadema.
Hahahaa hivi kumbe Lowas na Nyaland ni makamanda....kweli sijui tumerogwa na nani
 
Uchochezi
 
Hili jambo lina maslahi gani huko kwenu ccm mpaka mnaonekana very interesting?
Halafu kumbe mnaishi Nyumba moja na Lowassa na Nyalandu? Poleni sana
Mbona kama umeumia mkuu
 
Kwa mujibu wa chanzo kipi?

Vv
 
Kumbe lengo la kuja kwao ndio hilo?
Niwaulize tu wanaweza kuhimili mikikimikiki kama Mh Mbowe au wanataka kutuulia chama chetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…