Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Yaani anajiona wa kupimana ubavu na lissu

Huyu hata angewekwa na Hilda Newton bado Hilda angeshinda [emoji1]

Magufuli mwenyewe ilibidi atumie mabavu Kama ungekuwa fair and free election Magufuli angekuwa the first one term president

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!

Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??

Hao nyumbu wachache wanaomtetea ipo siku watachoka.
 
“Kuna mitihani ilitokea kwenye uchaguzi, kulikuwa na chaguzi za aina mbili, moja ilikuwa kupigiwa kura kwenye kamati, tunaenda kwenye Baraza Kuu. Kwenye Kamati Kuu Nyalandu alipata 100%, nilimgaragaza kweli kweli, kilichotokea viongozi wakasema Nyalandu asije akawa kama Lowassa”

Kwa kweli hapo Chadema waliona mbali sana kwamba tusimpe Nyalandu Madaraka kwani atakuwa kama Lowassa. Kwani sasa walisema uongo?
Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani?

Lowasa aliwapa chadema wabunge 60.
Lisu amewapa chadema mbunge mmoja.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nyarandu angegombea urais
 
Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani?

Lowasa aliwapa chadema wabunge 60.
Lisu amewapa chadema mbunge mmoja.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nyarandu angegombea urais
Yesu Kristo alisema huwezi kumpa mbwa chakula cha watoto, chadema haiwezi kuwapa uenyekiti makanjanja wa ccm ni kuua chaama
 
Nae alikua anajifanya kukimbilia Kenya walimdaka mpakani hapo Wakenya walijua sio mpinzani ndio maana walimrudisha upande wa Tanzania wahangaike nae hata hatukujua tena iliishia wapi anakuja na story za kutengeneza kila kukicha hawa ndio wale maisha yao ni siasa tuu bila siasa hakuna maisha...
Kabisa mkuu. Huyu hajielewi mchumia tumbo tu. Mfumo anaousema wa kumfukuza Membe? Membe si alitaka kugombea mbona walimfukuza!!!! Na katiba yao inamlinda!!!
 
Hii wataalamu wa soka tunasema amepiga BOKO, Leo Nyalandu amebokoa. Anasema;
1.Alipokwenda Nairobi kumwona LISSU hakulaumiwa na viongozi wa chama chake? Huu uongo anausema hadharani na vifungu vya biblia ni mahiri kunukuu japo hajui kifungu gani kunaendana na tukio lake.!! Anamdanganya Nani kama hata Wabunge waliokwenda gereza la Kisongo Arusha kumwona Lema walivyorudi wakalazimika kujiuzulu uongozi wa Kamati kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa Chama? Labda amesahau au anajisahaulisha.
2.Anasema alipokwenda Chato kuzika alilaumiwa na viongozi wa CDM? Chama kilichotuma viongozi wakubwa zaidi yake kinawezaje kumlaumu kiongozi mdogo kwa kufanya walichofanya wa juu yake? Yaani mkeo na binti yako wanakuwakilisha kwenye harusi ya mtoto wa Dada halafu wakichelewa kurudi unamfokea binti yako na kumkumbatia mkeo? Hizo akili au ni tope?
3.Anasema tatizo la CDM ni uongozi na siyo wanachama wa kawaida? Hao viongozi wamechaguliwa na hao wanachama wa kawaida, au kuna mapinduzi ya kijeshi yalifanyika kuwasimika viongozi wa CDM?

Kama hakuwa na hoja waliomshauri akae kimya walikuwa sahihi.
CDM Mmevuliwa nguo mahitaji kuchutama. Lini mtakuwa chama cha mfano?
 
Ukisikia umalaya was kisiasa ndio huu! Nyalandu itoshe tu kusema nyamaza usubiri uteuzi.
 
Kabisa mkuu. Huyu hajielewi mchumia tumbo tu. Mfumo anaousema wa kumfukuza Membe? Membe si alitaka kugombea mbona walimfukuza!!!! Na katiba yao inamlinda!!!
Mfumo wa fomu moja bila copy, ukitaka kugombea unafukuzwa huo ndiyo mfumo?
 
Akiwa 360 Clouds ameliongea hili leo na yuko live mpaka sasa, anasema tatizo lipo kwenye uongozi. Amesema wanachama wa chini kabisa hawana tatizo kabisa, matumaini yao yanaharibiwa na uongozi wa juu.

Angalizo: Mbowe uongozi wako umeshindwa vibaya sana, achia ngazi

=======

“Nilipoenda nchi ya ugenini (CHADEMA) wimbo ulikuwa haumbiki kwa namna ambavyo nilikuwa naangalia matukio, ilipotokea Mheshimiwa Rais anaumwa kuna baadhi ya viongozi walijitolea wakasema huyu hafai aondoke tufurahi, ilikuwa inanikwaza kupita kiasi”

“Niliposafiri kwenda Chato kuzika mashambulizi ambayo yalikuwa yananipata, hayakutoka kwa wana-CCM, hayakutoka kwa wana-CHADEMA wa kawaida, yalitoka kwa baadhi wenye msimamo mkali, unamshambuliaje mtu alieenda kuzika kiongozi wake wa nchi?"

“Wakati wa matatizo ya Lissu mimi binafsi sikujali kwamba ni CHADEMA, nilimuona ni Mtanzania ni kiongozi mwenzangu kule Singida, nakumbuka hata Mhe Rais alienda pia kumuona. Lakini wanachama wa CCM kuanzia Rais hadi viongozi hakuna aliepiga simu au kututukana”

“Kuna mitihani ilitokea kwenye uchaguzi, kulikuwa na chaguzi za aina mbili, moja ilikuwa kupigiwa kura kwenye kamati, tunaenda kwenye Baraza Kuu. Kwenye Kamati Kuu Nyalandu alipata 100%, nilimgaragaza kweli kweli, kilichotokea viongozi wakasema Nyalandu asije akawa kama Lowassa”

“Uchaguzi wa mgombea ubunge Singida Kaskazini, wajumbe wamefika usiku ule kuanzia saa kumi na mbili watu wananipigia simu wananiambia mbona mgombea Urais wako hakutaki anasema kidogo umkoseshe kugombea Urais kule Dar es Salaam”

“Wana-CHADEMA watu wa kawaida wengi ni watu wazuri, ni watu ambao wanatamani nchi bora, ambacho wanawazidi wana-CCM wewe itisha mkutano watakuja kwa mguu, watatoka walikotoka, watajitolea katika hali ambayo hutoamini”

“Siasa sio matusi, siasa sio kukoseana heshima, sio kutukana kiongozi wa nchi, siasa sio kuwatukana wale unaotofautiana nao, ni kusema hoja zako mbadala”

“Chama Cha Mapinduzi kimejaliwa mfumo, kilivyotengeneza itifaki ya chama, namna ambavyo walitengeneza mfumo wa kutoa dukuduku zako, mfumo wa kuchaguana. Kina strength ya mfumo, naamini imani ya watu tukipeleka kwa public, mwananchi wa kawaida anatoa kura” -
Huyu Nyalandu amejiharibia sana kwenda kwenye media kuisema chadema, ilikuwa abaki kimya lakini kama shida yake ilikuw kurudi chama chama cha Mapinduzi ndio ameshrudi. Ingemsaidia kupata heshima na upole ambayo nadhani ndio tabia yake. Lakini sasa ni kama ameamsha popo.,
 
Huyu Nyalandu alimkimbia jiwe! lililotaka kumsaga saga kwa kushiriki ujambazi wa mali asili zetu! CDM walikukaribisha kukuepusha na mkono wa jiwe ili akikufuata useme ni SIASA. Unatakiwa uwashukuru.
Ukienda singida hata mtoto wa miaka miwili anajua Lazaro nyarandu ni King Maker wa kuuza pembe za ndovu, modus operandi , or tactics walikuwa wanachukuwa mafuta ya alizeti wanachukuwa madumu ya Lita 20 wanakata kitako sehemu ndogo wanakata vipande vya pembe wanajaza kwenye madumu wanaziba vizuri sana madumu ya rangi , harafu wanajaza mafuta ya alizeti na kuweka labels wanapeleka Burundi na transit cargo . Ikifika Burundi wanatoa hizo pembe wanapeleka China.
 
Akiwa 360 Clouds ameliongea hili leo na yuko live mpaka sasa, anasema tatizo lipo kwenye uongozi. Amesema wanachama wa chini kabisa hawana tatizo kabisa, matumaini yao yanaharibiwa na uongozi wa juu.

Angalizo: Mbowe uongozi wako umeshindwa vibaya sana, achia ngazi

=======

“Nilipoenda nchi ya ugenini (CHADEMA) wimbo ulikuwa haumbiki kwa namna ambavyo nilikuwa naangalia matukio, ilipotokea Mheshimiwa Rais anaumwa kuna baadhi ya viongozi walijitolea wakasema huyu hafai aondoke tufurahi, ilikuwa inanikwaza kupita kiasi”

“Niliposafiri kwenda Chato kuzika mashambulizi ambayo yalikuwa yananipata, hayakutoka kwa wana-CCM, hayakutoka kwa wana-CHADEMA wa kawaida, yalitoka kwa baadhi wenye msimamo mkali, unamshambuliaje mtu alieenda kuzika kiongozi wake wa nchi?"

“Wakati wa matatizo ya Lissu mimi binafsi sikujali kwamba ni CHADEMA, nilimuona ni Mtanzania ni kiongozi mwenzangu kule Singida, nakumbuka hata Mhe Rais alienda pia kumuona. Lakini wanachama wa CCM kuanzia Rais hadi viongozi hakuna aliepiga simu au kututukana”


Nimeishia hapo kwneye RED, mana inaonekana hana kumbukumbu huyu.
Hivi watu si walikatazwa mpaka kumuombea mgonjwa?
 
Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani?

Lowasa aliwapa chadema wabunge 60.
Lisu amewapa chadema mbunge mmoja.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nyarandu angegombea urais
Nyalandu amewapa Chadema wabunge wangapi?
 
Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani?

Lowasa aliwapa chadema wabunge 60.
Lisu amewapa chadema mbunge mmoja.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nyarandu angegombea urais
Kama Lissu aliwapa Chadema mbunge mmoja, mbona tunawaona wabunge wengi zaidi ya mmoja na wote mnaungana nao kusema ni wabunge wa Chadema? Njia ya mwongo ni fupi.
 
Yesu Kristo alisema huwezi kumpa mbwa chakula cha watoto, chadema haiwezi kuwapa uenyekiti makanjanja wa ccm ni kuua chaama
Watu wamepewa hadi nafasi za kugombea urais nini nafasi ya uenyekiti bhana?

Chadema ni kama jalala kila uchafu toka ccm unatupwa huko kisha unaokotwa tena kuja kufanyiwa recycle
 
Back
Top Bottom