Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wonders shall never end!!Huyo wa kumpita lissu [emoji38]
Leta ushahidi usiongee bila ushahidiMkutano mkuu wa Uchaguzi wa Chadema kwa kiasi kikubwa (kifedha) ulifanikishwa na Nyalandu.
Hakika umenenaHuyu Nyalandu alimkimbia jiwe! lililotaka kumsaga saga kwa kushiriki ujambazi wa mali asili zetu! CDM walikukaribisha kukuepusha na mkono wa jiwe ili akikufuata useme ni SIASA. Unatakiwa uwashukuru.
Akijibu nistue maana alimyang'anya rafiki yangu mke 2003... swali zuri sana; kisha akarudi tena kule kule alikokimbia!
Wahuni wa kisiasa halafu watu wazimaWanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Hawako kwa ajili ya maslahi ya Taifa .
Kwa nini amsubiri jiwe afe ndiyo arudi ccm,mbona hakuunga juhudi kama katambi?Hakika umenena
Daudi Mchambuzi nimepitia uzi naona bado hujajibiwa!akijibu hii unitag.
Nchi hii Dictator number 1 ni Freeman Aikaeli Mbowe huyu siku Mungu akimuita utazuka ugomvi mkubwa sana wa kugombea madaraka Chadema kati ya familia ya ukoo wa Mbowe na wanaharakati uchwala kina Lissu na wenzake.
Corona inaakili sana imempiga meko muuaji kafa chapuuu...mungu ni fundiChadema wote mmekosa akili ya kuongoza Chama ni Mbowe tu mwenye akili?
Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!Nyarandu wewe Ni mpenda vyeo.Ulikwenda Chadema ili Ugombee Urais tu.Jaribu kujitasimini Kama wewe Ni msafi.Wewe Ni. opportunist.Watu wa kanisa wanakujua vizuri tabia yako ya utaperi kabla ya kudandia siasa
Alimgaragaza kwa kupata kura 6 dhidi ya 24 za Lissu, uelewe Nyalandu kichwa maji hata hesabu za darasa la tatu hazijui?Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!
Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Kama kile cha jiwe 'Wasijulikana'.Chadema....! Ni kikundi kimoja hivi cha hovyo Sana!!