fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Target changed the location, op must return over.Huyo huyo. Ni kijana wangu kuna mwengine Frenki Ila Rama kazidi ukatili Frenki Sasa hivi karudi kutoka ubelgiji alipokuwa stationed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Target changed the location, op must return over.Huyo huyo. Ni kijana wangu kuna mwengine Frenki Ila Rama kazidi ukatili Frenki Sasa hivi karudi kutoka ubelgiji alipokuwa stationed.
Anamjua vizuri sana. Kazi nyepesi kwa Chadema kuchukua jimbo. Miiko ya kazi ile itambana Nyarandu adhindwe kufunguka jukwaani ingawa wananchi wanafahamu mengi kuhusu mpinzani wake.Ramadhani Ighondu ni mtoa roho, tunakumbuka sana alicho fanya kwa maisha ya Dr. Ulimboka, Nyalandu ajichunge
Ila Jiwe limezingua sana, yani kila mahali limeweka jina la mfukoni. Halafu hili jamaa si ni gaidi?Huyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Kumbe ndio huyu?Ohoo, Nyalandu tayari ni mbunge 2020. Huyo mtekaji, Bw. Ramadhani, asidhani bado "hajulikani". Hatutaki watekaji.
Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM..
Hivi Nyalandu alisharudisha Twiga wetu?Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM.
Hali ni ngumu sana kutokana na Lazaro Nyalandu kukubalika sana na jamii ya eneo hilo tangu akiwa mbunge mpaka sasa ambapo anatajwa kumiliki wanachama wote wa CCM ingawa yeye yupo CHADEMA.
Upande wa CCM ndugu Ramadhani Ighondu hautabiriki kwa maana siyo mtu anayefahamika sana na jamii ya watu wa eneo hilo ingawa inasemekana kuwa ni mtu mmoja wa mipango sana.
Ndugu Ighondu kutokana na ugeni wake katika siasa ametabiriwa kushindwa vibaya sana dhidi ya Nyalandu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kushinda jimbo hilo.
Huyu ndugu Ighondu alikuwa mshindi wa pili kura za maoni chini ya Haidar Gulamali ambaye jina lake limeenguliwa.
MwandishiKati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM...
Ina maana Lazaro nae ni wapande zile?!Anamjua vizuri sana. Kazi nyepesi kwa Chadema kuchukua jimbo
Miiko ya kazi ile itambana Nyarandu adhindwe kufunguka jukwaani ingawa wananchi wanafahamu mengi kuhusu mpinzani wake.
Ogopa teknolojia ikisindikizwa na simu janja viganjani
Kusema anamjua haimaanishi ni wa pande zile, kwa nafasi aliyokuwaga nayo ni rahisi kuwafahamu former ops wa nyakati zakeIna maana Lazaro nae ni wapande zile?!
Mwenzako msigwa alimuomba msamaha kinana shauri yakoHivi Nyalandu alisharudisha Twiga wetu?
Majina na mfukoni hata nyie mmeweka.Kwa hili hamchekani.Ila huyo Ramadhan atashindwa mapema tu.Ila Jiwe limezingua sana, yani kila mahali limeweka jina la mfukoni. Halafu hili jamaa si ni gaidi?
Aisee!!Target changed the location, op must return over.
Chonde chonde Wana singida, Bora Jimbo liende hata kwa Spunda kuliko huyo ighondu. Ulimboka aling'olewa meno na kucha kwa kutumia koleo akiwa hai na huyo ibilisi asiye na huruma kinyama halafu leo kweli achaguliwe kuwakilisha wananchi kweli?Inatisha sana
Hivi Nyalandu alisharudisha Twiga wetu?