Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu vs Ramadhani Ighondu kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge jimbo la Singida Kaskazini

Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu vs Ramadhani Ighondu kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge jimbo la Singida Kaskazini

Huyo huyo. Ni kijana wangu kuna mwengine Frenki Ila Rama kazidi ukatili Frenki Sasa hivi karudi kutoka ubelgiji alipokuwa stationed.
Target changed the location, op must return over.
 
Ramadhani Ighondu ni mtoa roho, tunakumbuka sana alicho fanya kwa maisha ya Dr. Ulimboka, Nyalandu ajichunge
Anamjua vizuri sana. Kazi nyepesi kwa Chadema kuchukua jimbo. Miiko ya kazi ile itambana Nyarandu adhindwe kufunguka jukwaani ingawa wananchi wanafahamu mengi kuhusu mpinzani wake.

Ogopa teknolojia ikisindikizwa na simu janja viganjani
 
Huyo sijui Ighondu inatakiwa aingizwe kwenye ile orodha ya akina Bashite wanaonyima watu haki ya kuishi na asipewe kabisa Visa ya kwenda kwenye nchi yoyote iliyostaarabika.

Ighondu is a Terrorist Mastermind and a dangerous person who must be kept at the arms length. His rival in the election must be very careful with him.
 
Sasa huyo gaidi ataenda kuomba kura kwa Nani kama alimtekamtu anayetetea afya Za wananchi?
Labda akaombe kura makaburi

Unamdhuru Docta? Mtu ambaye kwa namna moja au nyngine yupo kwenyebenchi la ufundi la Muumbaji.
Au wew hutakaa uumwe? Shit!
 
Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM..

Jimbo Jepesi sana kwa Nyalandu sidhani kama wana Singida wanaweza Kumpa JIMBO MTEKAJI na MUUAJI....Ramadhani IGondu kamfanyia vibaya sana Dr Ulimboka walimuharibu kila kitu na sidhani kama KWA ABDALLAH kuna fanya kazi kwasababu walimpasua na KOLEO.
 
IGHONDO KASHINDA KWA RUSHWA SAIVI WASIMAMIZI WATATISHWA SANA NA HILI JEURI KATILI NA NYALANDU NJIA NYEUPEEE KUELEKEA BUNGENI
 
Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM.

Hali ni ngumu sana kutokana na Lazaro Nyalandu kukubalika sana na jamii ya eneo hilo tangu akiwa mbunge mpaka sasa ambapo anatajwa kumiliki wanachama wote wa CCM ingawa yeye yupo CHADEMA.

Upande wa CCM ndugu Ramadhani Ighondu hautabiriki kwa maana siyo mtu anayefahamika sana na jamii ya watu wa eneo hilo ingawa inasemekana kuwa ni mtu mmoja wa mipango sana.

Ndugu Ighondu kutokana na ugeni wake katika siasa ametabiriwa kushindwa vibaya sana dhidi ya Nyalandu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kushinda jimbo hilo.

Huyu ndugu Ighondu alikuwa mshindi wa pili kura za maoni chini ya Haidar Gulamali ambaye jina lake limeenguliwa.
Hivi Nyalandu alisharudisha Twiga wetu?
 
Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM...
Mwandishi
 
Anamjua vizuri sana. Kazi nyepesi kwa Chadema kuchukua jimbo
Miiko ya kazi ile itambana Nyarandu adhindwe kufunguka jukwaani ingawa wananchi wanafahamu mengi kuhusu mpinzani wake.
Ogopa teknolojia ikisindikizwa na simu janja viganjani
Ina maana Lazaro nae ni wapande zile?!
 
Inatisha sana
Chonde chonde Wana singida, Bora Jimbo liende hata kwa Spunda kuliko huyo ighondu. Ulimboka aling'olewa meno na kucha kwa kutumia koleo akiwa hai na huyo ibilisi asiye na huruma kinyama halafu leo kweli achaguliwe kuwakilisha wananchi kweli?
Hapana.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom