Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 988
R.I.R Dr Senko Mvun...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watamteka na nyaranduHuyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Umeniwahi! nilitaka kuuliza huyu si ndie mtekaji wa Ulimboka?Huyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Huyo ighodu damu zinamtesa na bado zitamtesa kwa mauaji aliyotumwa n meko and coKati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM.
Hali ni ngumu sana kutokana na Lazaro Nyalandu kukubalika sana na jamii ya eneo hilo tangu akiwa mbunge mpaka sasa ambapo anatajwa kumiliki wanachama wote wa CCM ingawa yeye yupo CHADEMA.
Upande wa CCM ndugu Ramadhani Ighondu hautabiriki kwa maana siyo mtu anayefahamika sana na jamii ya watu wa eneo hilo ingawa inasemekana kuwa ni mtu mmoja wa mipango sana.
Ndugu Ighondu kutokana na ugeni wake katika siasa ametabiriwa kushindwa vibaya sana dhidi ya Nyalandu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kushinda jimbo hilo.
Huyu ndugu Ighondu alikuwa mshindi wa pili kura za maoni chini ya Haidar Gulamali ambaye jina lake limeenguliwa.
Yaani huyu watu wa singida wamkatae kabisa!Asee,hebu tuekee picha ya huyo bwana ighondu mtumishi wa ikulu enzi ya jk aliyehusishwa na utekaji wa Dr ulimboka. Tuwekee pliz ka unayo
Sio mtekaji n mauaji kafanya sana,kajaa damu za watu ni kundi la meko and coHuyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Lissu katika ubora wake wa kufitinisha na chuki, m maana hakuna hoja ndani ya andiko hilo kama alivyojitangaza kuwa yeye ni mwanasheria mahiri hivyo anastahili kuongoza nchi hii. Rejea bandiko lake hili.Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM.
Hali ni ngumu sana kutokana na Lazaro Nyalandu kukubalika sana na jamii ya eneo hilo tangu akiwa mbunge mpaka sasa ambapo anatajwa kumiliki wanachama wote wa CCM ingawa yeye yupo CHADEMA.
Upande wa CCM ndugu Ramadhani Ighondu hautabiriki kwa maana siyo mtu anayefahamika sana na jamii ya watu wa eneo hilo ingawa inasemekana kuwa ni mtu mmoja wa mipango sana.
Ndugu Ighondu kutokana na ugeni wake katika siasa ametabiriwa kushindwa vibaya sana dhidi ya Nyalandu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kushinda jimbo hilo.
Huyu ndugu Ighondu alikuwa mshindi wa pili kura za maoni chini ya Haidar Gulamali ambaye jina lake limeenguliwa.
Acha kulinganisha wewe, kwa Segerea tumecheza kimkakati maana Bona ni dhaifu. Jiwe zaidi ya Makamba waliobaki wote ni raia wake wa mfukoni tena mfuko wa nyuma panapokaa walletMajina na mfukoni hata nyie mmeweka.Kwa hili hamchekani.Ila huyo Ramadhan atashindwa mapema tu.
Huyu Ramadhan ndo wa utekaji wa yule Dr. Hivi Dr yupo wapi siku hizi? Nyalandu hili jimbo anashinda asubuhi.
Nyalandu yeye alitumwa tu kutekeleza! Jk ndio muhusika mkuu!Hivi Nyalandu alisharudisha Twiga wetu?
Deo Mwanyika pia kapewa jimbo kule Njombe baada ya plea burgain ya 1.5b.Prof Koboko,
Kweli CCM imekwisha! hadi watekaji wanapewa ubunge? yule aliyemtisha Nape na bastola anagombea jimbo gani?
Ukimuona haraka haraka huwezi mdhania ila jamaa ni katili hakuna.Huyu Rama nasikia ni mmafia kweli kweli
Kumbe na kwa mzee alihusika! Mungu amlaani kabisa!R.I.R Dr Senko Mvun...
Kuna connection yeyote na kurudi kwa TL, naye Frenki kuja endeleza kazi nyumbani? Swali tuHuyo huyo. Ni kijana wangu kuna mwengine Frenki Ila Rama kazidi ukatili Frenki Sasa hivi karudi kutoka ubelgiji alipokuwa stationed.
Mwaka huu kuna nafasi kubwa sana ya wabunge wa ccm kuangukia pua ,tumaini lao pekee ni wizi ambao nao hauna uhakikaProf Koboko,
Kweli CCM imekwisha! hadi watekaji wanapewa ubunge? yule aliyemtisha Nape na bastola anagombea jimbo gani?