Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu vs Ramadhani Ighondu kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge jimbo la Singida Kaskazini

Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu vs Ramadhani Ighondu kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge jimbo la Singida Kaskazini

Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM.

Hali ni ngumu sana kutokana na Lazaro Nyalandu kukubalika sana na jamii ya eneo hilo tangu akiwa mbunge mpaka sasa ambapo anatajwa kumiliki wanachama wote wa CCM ingawa yeye yupo CHADEMA.

Upande wa CCM ndugu Ramadhani Ighondu hautabiriki kwa maana siyo mtu anayefahamika sana na jamii ya watu wa eneo hilo ingawa inasemekana kuwa ni mtu mmoja wa mipango sana.

Ndugu Ighondu kutokana na ugeni wake katika siasa ametabiriwa kushindwa vibaya sana dhidi ya Nyalandu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kushinda jimbo hilo.

Huyu ndugu Ighondu alikuwa mshindi wa pili kura za maoni chini ya Haidar Gulamali ambaye jina lake limeenguliwa.
Huyo ighodu damu zinamtesa na bado zitamtesa kwa mauaji aliyotumwa n meko and co
 
Kati ya chaguzi ngumu za ubunge CCM ni huu wa jimbo la Singida Kaskazini ambapo ndugu Lazaro Nyalandu kada wa zamani wa CCM na Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya 4 kupitia CHADEMA dhidi ya ndugu Ramadhani Ighondu kupitia CCM.

Hali ni ngumu sana kutokana na Lazaro Nyalandu kukubalika sana na jamii ya eneo hilo tangu akiwa mbunge mpaka sasa ambapo anatajwa kumiliki wanachama wote wa CCM ingawa yeye yupo CHADEMA.

Upande wa CCM ndugu Ramadhani Ighondu hautabiriki kwa maana siyo mtu anayefahamika sana na jamii ya watu wa eneo hilo ingawa inasemekana kuwa ni mtu mmoja wa mipango sana.

Ndugu Ighondu kutokana na ugeni wake katika siasa ametabiriwa kushindwa vibaya sana dhidi ya Nyalandu ambaye anapewa nafasi kubwa ya kushinda jimbo hilo.

Huyu ndugu Ighondu alikuwa mshindi wa pili kura za maoni chini ya Haidar Gulamali ambaye jina lake limeenguliwa.
Lissu katika ubora wake wa kufitinisha na chuki, m maana hakuna hoja ndani ya andiko hilo kama alivyojitangaza kuwa yeye ni mwanasheria mahiri hivyo anastahili kuongoza nchi hii. Rejea bandiko lake hili.
Uchaguzi 2020 - Kwanini Tundu Lissu anaweza kuwa kiongozi mzuri wa Taifa?

Kwa nini nasema ni Lissu? Kauli zake kwenye safari za kuomba udhamini, za kufitinisha na kujenga chuki, hazitofautiani na bandiko zake humu JF tangu ajiunge (15/8/2020) km hii hapa Uchaguzi 2020 - CHADEMA Kibamba Wote kwa umoja wenu nendeni msindikizeni Mgombea wenu kuchukua fomu
 
IMG-20200820-WA0073.jpg
 
Muuaji na mtekaji Ramadhani Ighondu, siyo mtu wa kupewa hata uongozi wa mtaa. Muuaji kwake ni gereza la Isanga.

Kumleta muuaji Ramadhani kuomba kura, ni kuwatukana wananchi. Hivi CCM na Rais Magufuli wanawaonaje wananchi? Ubunge umegeuzwa kuwa zawadi kwa wauaji na watekaji?

Lazima tukatae kufanywa roho zetu kuwa hazina thamani.

Kama haitawezekana kumtaja hadharani kuwa mtu huyu ni muuaji, zitafutwe mbinu ambazo zitawezesha kila mpiga kura wa jimbo hilo kuweza kutambua CCM imewalatea mgombea wa namna gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo huyo. Ni kijana wangu kuna mwengine Frenki Ila Rama kazidi ukatili Frenki Sasa hivi karudi kutoka ubelgiji alipokuwa stationed.
Kuna connection yeyote na kurudi kwa TL, naye Frenki kuja endeleza kazi nyumbani? Swali tu
 
Mara [emoji817] nyarandu kuliko kuongeza wasiojulikana bungeni wanalewa sana madaraka
 
Back
Top Bottom