Lazima una mtu fulani ambaye huwa unampigia simu bila sababu ya msingi

Lazima una mtu fulani ambaye huwa unampigia simu bila sababu ya msingi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kama sasa hivi ngoma livyo ngumu mifumo ya kihasibuhuko hazina imefungwa unajikuta hata buku ya boda huna au hela ya bundle. Sasa kama ya boda huna si inabidi uprint na miguu safari yako. Sasa katika kutembea huwa hakosekani best yako au mpenzi mmoja ambaye kama una madakika ya kumwaga lazima umpigie uyapoteze ilimrad tu barabarani usione jau.

kujifanya unaongea vya maana kumbe stori zilezile mnazirudia kila siku mnapangana mixer kupeana matumaini na faraja katika maisha..unajikuta umeshafika safari yako kuliko kutembea acapela bila hata kuongea na simu ndo kabisa stress na mawazo zinazidi.
 
Mimi nikiwa kwenye situation hio najitungia hadithi najisimulia mpaka na fika ninapoenda.

Mara nyingi natunga stori inayohusu maisha yangu kutoka pale nilipo mpaka nakuwa bilionea.

Kuna hadithi nyingine haziishi zinakuwa na muendelezo , sasa kama sina safari naziweka pending siku nikipata safari ya kutembea kwa mguu safari ndefu naaendeleza stori yangu.
 
Mwanangu casilas001 popote ulipo, huyu mwanangu ikifika jioni hamuelewani yeye kila cku kwake ni s/kuu yaan kwake kila siku ni weekend. kama unashida muwahi asubuhi kabla kuku hawajatoka, ikifika saa 3 morning tayar mwana jicho nyanya.

Licha ya urafik mkubwa na Bata la huyu jamaa cjawahi kujua Kaz zake.
 
Alikuwa mwanafulani humu ananza na d nilimpenda sana mshikaji ila hakunipenda aisee bahati yangu mbaya saivi nipo na mwanamwingine japo naye anamashauzi ila ndio kawa mwana , saivi wanaume ni wana tu kwangu . Mapenzi niliyaacha buza . Yanipotezea muda sana
 
Back
Top Bottom