Cohenlukinga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 279
- 352
Muda ushaenda mkuu ,maana wameanza tangu mwaka jana na sifa kubwa ya haya makampuni ya kitapeli hawawezi kaa muda mrefu sana,hivyo muda wowote watakimbia na pesa za watuNina mjomba wangu ananishawishi sana nicheze