William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Ndugu yangu ni ukweli mtupu unatia aibu,umri wako hauendani na akili yako! inafika sehemu mimi ambaye wewe ni sawa na baba kwa umri naona aibu,unanisikitisha sana
- I mean baby wangu amerudi shule juzi kufanya Masters ya Sheria vipi wewe unayo au ni maneno maneno tu hapa, U know hahahahahahahahaa
Le Mutuz
Uwe na akili bana!Jitu kubwa akili ndogo,unaboa sana!Mpaka inafika sehemu namdharau Mzee Jumanne kwa kushindwa Kukulea.Mpaka watu wanafika sehemu wanadai unapumuliwa wewe huoni aibu?
Awaangalie wenzie kina ridhiwani alowazidi umri lakini wanamaisha standard ye rika la kina pinda anaendekeza utoto
Aliyekuroga kafa!!!Maskini mzee Jumanne- sure ni rahisi sana kwa anayepupumuliwa kuamini wengine wote ni kama yeye infact hapa unajisema wazi kwamba ndio mchezo wako maana topic inahusu baby wangu wewe unaleta matatizo yako U know, hahahahahahahah U know walioshindwa kulelewa wapo jela, au mirembe I have life na utaisoma tu U know na dada yako simrudii najua una hasira sana
Le Mutuz
Hahahaa haaaa
Rika la pinda!!!
Aliyekuroga kafa!!!Maskini mzee Jumanne
- anayetia aibu ni wewe unayetafuta maisha ya watu na kuja kulalamika kwenye mitandao kwa majina ya bandia, mimi nipo sawa sana na ndio maana utanisoma mpaka mwisho wamaisha yako, juzi si umesikia niliyoyafanya Kempisk sasa kwa mtu anayetia aibu unaweza kujaza matajiiri Kempisk wakakubali kukaa masaa sita kuona event iliyotayarishwa na anayetia aibu, hahahahahahahahah
- Pole sana yule dada yako simrudii ndio imetoka ile ati U know
Le Mutuz
- Kwa sababu wewe ulirogwa sasa unaamini wengine wote ni kama wewe, hahahahahah U know
Le Mutuz
Hongera sana kwa kuamua kuishi maisha yako. Watz wengi ujamaa umewafilisi akili, wanaamini kwenye unyonge na uduni ndio maana wengi wao wanakushangaa.
We ni mburula tu!Hujitambui!Sura imekushuka!Watoto unatunziwa!Gari uliongwa na jamaa yako!- Well tutaendelea kuwaelimisha kwa mifano kwamba Dunia imebadilika sio kama ilivyokuwa zamani, siku hizi unatengeza pesa unakula bataz unaonyesha kwenye Instagram na FB life goes on, wanaotaka maadili watafute Dunia nyingine I mean maadili gani na huku tunasikia kila Viongozi wa Taifa wanaacha wake zao na familia zao wanawajaza mimba wabunge wa viti maalum wa vyama vyao, rubbish kabisa hayo maadili U know
Le Mutuz
Unajichekesha nini?uwe na akili bana!!Unatia aibu.Even me I do believe that any woman who have affairs with you,upstairs for that woman should be checked precisely.Wewe ni mgonjwa!
We ni mburula tu!Hujitambui!Sura imekushuka!Watoto unatunziwa!Gari uliongwa na jamaa yako!
- hahahahahahahahaha saaafi sana sasa nimekupata unatapika bila kufikiri le mburualazz, sura yangu inakutesa hahaha
le Big Show
ndio upost vitu vya maana sasa watu wakuheshimu kulingana na jina la mzee fedha pekee haileti heshima madaraka hana hela kivile lakini anaheshimika ,badilika post mapicha na watu wenye kuweza kubadili fikra na maisha ya watu sio hao vicheche vya mjini- Kila binadam na maisha yake ninamshukuru sana Mungu kwamba I make money I live my life na nimeweza kutengeza my ID kwa Public as Le Mutuz Big Show, I live my life and I am very happy just imagine ningekuwa mbunge kukaa Dodoma wiki nzima wewe kweli unaamini mimi naweza kukaa Dodoma Wiki nzima kwenye bunge?
- Hao wote uliowataja tunaheshimiana tunafahamiana sijawahi kumuomba mtu pesa ninazo zangu, na nina biashara zangu hapa mjini yaani I am kool with my self U know poleni mnaokaa pembeni na kulia lia mtalia sana U know na by the way huyo kwenye picha sio baby wangu yupo mwenyewe ila kama kawaida huwa ninawachezesha muziki wangu as much as I want U know!!
Le Mutuz
Hivi Big Brother Africa ina age limit?? Kama haina Mi naona tupeleke huyo le mutuz tunaweza jishindia aseee ahahahahaha...
- hahahahahahahahaha saaafi sana sasa nimekupata unatapika bila kufikiri le mburualazz, sura yangu inakutesa hahaha
le Big Show