Le mutuz awashukia wanaomlaumu kuhusu nyumba ya mama yake

Le mutuz awashukia wanaomlaumu kuhusu nyumba ya mama yake

Status
Not open for further replies.
- Sawa sawa haya maneno yangekuwa super kama ungeweka nyumba ya mama yako kwanza OTHERWISE YANAKUWA NI HEWA TUPU unafikiri ni mchezo kujengea nyumba mama hahaha ni rahisi kualumu wenghine tu weka hapa ya mama yako tuone kama kweli ipo? hahahahahahaa

Le Mutuz

Kaka kubali hpo hamna nyumba hiyo ni banda mhamishe maza fasta anza ujenzi w nyumba c kurepair hilo banda l kuku,m2 bilionea huwezi lala kwe2 mana kumechoka hatari punguza majigambo jenga nyumba bora au nae mhamishie dar akae ghorofani.maza kachoka itakua humtumii matumizi
 
- HAHAHAHAHAHAHAHA unasema hii ndio nyumba ya mama yako wapi hiyo hahahahahahahahah jamani unaona wapiga kelele hahahahahaa umenivunja mbavu yaani msingi wa Shule ya Msingi ndio unasema nyumba ya mama yako sasa hapo anaishi wapi kaka? hahahahahahahahahahah

Le Mutuz

hahahahaha aisee
 
-Then ungenyamaza tu maana page 12 nonsense tupu maneno mengi hewa tupu U know inasikitisha sana!, una tatizo na nyumba ya mama yangu weka ya mama yako kwanza ndio uanze kulia lia au unasemaje?

Le Mutuz

Mkuu W. J. Malecela wewe achana nao hao! Wewe umemjengea mama basi. Kama walitaka nyumba ya mama iwe hekalu wala huo haukuwa wajibu wako bali wa Mzee Tingatinga ambaye alikuwa mume wake. Au hakuwa mume bali mchepuko? Anyway tuache hayo maana hata kama ni mchepuko kwa nafasi aliyokuwa nayo angeweza kufanya makubwa zaidi. Ila wakati mwingine haya mambo ya kina mama sio ya kuyaweka humu kwenye social media kuna watu ndio wanapata nafasi ya mashambulizi.
 
Last edited by a moderator:
watu wa tunduma hebu tupieni picha za nyumba zenu huko......,









- Guys hii ndio nyumba ya my Mother hapa Tunduma please kama kuna mwenye tatizo naoma uweke nyumba ya mama yako popote pale ilipo sio lazima iwe Tunduma, kama huwezi nyamaza utuachie Wanaume tunaohangaika na maisha tuendelee na the hustle nipo huku mama yangu yupo sawa now, niliporudi Majuu niliikarabati hii nyumba na sasa nimeibomoa tena naifanyia ukarabati kwa sababu mama yangu hataki kuhama hapa si unajua kule bongo Kinyerezi nina eka 5 na nyumba kubwa haina mtu so relax kama mlidhani this time mmenipata no mmekosea nipo huku taking care of my mother, weka nyumba ya mama yako au shut the f up!!

Le Mutuz
 
Mkuu W. J. Malecela wewe achana nao hao! Wewe umemjengea mama basi. Kama walitaka nyumba ya mama iwe hekalu wala huo haukuwa wajibu wako bali wa Mzee Tingatinga ambaye alikuwa mume wake. Au hakuwa mume bali mchepuko? Anyway tuache hayo maana hata kama ni mchepuko kwa nafasi aliyokuwa nayo angeweza kufanya makubwa zaidi. Ila wakati mwingine haya mambo ya kina mama sio ya kuyaweka humu kwenye social media kuna watu ndio wanapata nafasi ya mashambulizi.

- Well, ukifikia mahali ukawa Celeberity as I am ukaogopa anything kinachokuhusu then you are not a Celebrity, au hujitambui mimi najitambua sana na ninajielewa she is my mother na she is fine, hizi ni kelele za mlango ambazo nazipenda sana kwa sababu ndio zinanifanya niwe The King Of All bongo Social Media Network na kukusanya pesa pole pole so na wewe relax!!

Le Mutuz
 
watu wa tunduma hebu tupieni picha za nyumba zenu huko......,

- Hawawezi mkuu si nipo hapa Tunduma zote ni nyumba za kawaida tu atakayeweza namlipa U know hamna nyumba hapa zipo tu za kawaida halafu watu hapa mama zao wanaishi kwenye mapagalo ndio maana hawawezi kuweka anything hahahahahahaha

Le Mutuz
 
huyu jamaa lemutu nilikuwa namfagilia kumbe kimeo tu. nimegundua leo kuwa kaniblock kule insta kisa hapendi challenge. dikteta huyu anayejificha kwenye matiti ya wanawake. mburulaz kabisa!

Hahahaa me mwenyewe kaniblock...kumbe muoga tuu...
 
Am no doctor but something is seriously off.

He shouldn't be here or anywhere postulating about his mother.

Not at his age at least.

- Wewe rudi Tanzania Nyerere rika lako alishafariki wazazi wako wote walishafariki, miaka 60 hujarudi nyumbani walishakusahau a depressed humna being na huyo mke wako Mlemavu pole sana utaishia huko huko watatuma majivu tu, wenzako tumeishi huko tumerudi nyumbani na nipo hapa Tunduma ninaendelea na maisha, wewe utaishi akutunzwa na serikali ya wazungu mpaka unakufa what a waste!! hahahahahahaha

Le Mutuz
 
Hahahaa me mwenyewe kaniblock...kumbe muoga tuu...

- My Instagram Wall ni uwanja wa kutengeneza pesa sio matusi, andika matusi yako hapa kule huwezi halafu kumbe unanifollow ina mnaana ya Big Celeb mimi siku follow wala sikujui eti wewe ni nani kwani? hahahahahahaha

Le Mutuz
 
Kaka kubali hpo hamna nyumba hiyo ni banda mhamishe maza fasta anza ujenzi w nyumba c kurepair hilo banda l kuku,m2 bilionea huwezi lala kwe2 mana kumechoka hatari punguza majigambo jenga nyumba bora au nae mhamishie dar akae ghorofani.maza kachoka itakua humtumii matumizi

- Bilionea sijawa ila nipo mbioni, mama yangu is fine ila ungeweka banda la mama yako ndio ningeamini unayosema U know weka basi hapa tuone wasap!!

Le Mutuz
 






- Le Big Show live at Tunduma, hii ndio nyumba ya Mama yangu mzazi Tunduma nasema tena kwa standards za Tunduma ni super kuliko nyumba za mtaa wake wote, hali yake ya afya haikuwa njema nimemuhamishia Mbeya mjini na kuanzia jana nimeamua kuikarabati upya nyumba yake kwa sababu hataki kuhamia Dar kwenye nyumba yangu ya Kinyerezi ambayo haina mtu. So nimemuhamishia Hotelini ambako amekuwa akifanyiwa medical check up na madaktari bingwa toka nifike huku juzi na for the next Two weeks akisubiri ukarabati ili niweze kuweka mtu permanent ndani ya nyumba wa kumtunza all the times, now eti kuna anayesema kwa kumfanyia mama yangu mzazi yote haya ninakuwa sina akili? hahahahaha mnasema kwamba ni kweli Celebrity wote hapa mjini wanawajali Mama zao kama nilivyofanya? hahahahah

- Accademically huwezi kulaumu nyumba ya mama wa mwingine bila kuonyesha ya mama yako kwanza, sasa kosa langu lipo wapi people au ndio zile zile za kuendelea kunipaisha kwa juu na Social Media, I mean hahahahahahaha U know

- NIPO MBEYA NOW DOWNTOWN GR HOTEL U KNOW, NAENDA TUNDUMA NA KURUDI KUSIMAMIA UKARABATI ETI KUNA MWENYE TATIZO HUKO? HAHAHAHAHAHAHA

Le Big Show



Mchele mchele. Acha hiyo tabia.
 
Mchele mchele. Acha hiyo tabia.

- Kama kawaida lazima mjiseme kuhusu tabia zenu yaani tunaongelea mambo ya nyumba ya mama wewe unaleta mambo ya tabia zako huko mtaani sasa sisi tufanye nini unatangaza biashara yako hapa? hjahahaha halafu nani kakuuliza kuhus
u mambo yako ya binafsi?

Le Mutuz
 
- Bilionea sijawa ila nipo mbioni, mama yangu is fine ila ungeweka banda la mama yako ndio ningeamini unayosema U know weka basi hapa tuone wasap!!

Le Mutuz

Kwa umri wako kuwa bilionea ni maajabu ya dunia. .kuna umri ukigonga kama hujafanikisha ndoto zako tegemea miujiza!....kuna mtu anatuletea picha za nyumba hiyo ya bi mkubwa wako upande wa ndani tuone na maeneo ya chooni..
 
- Wewe rudi Tanzania Nyerere rika lako alishafariki wazazi wako wote walishafariki, miaka 60 hujarudi nyumbani walishakusahau a depressed humna being na huyo mke wako Mlemavu pole sana utaishia huko huko watatuma majivu tu, wenzako tumeishi huko tumerudi nyumbani na nipo hapa Tunduma ninaendelea na maisha, wewe utaishi akutunzwa na serikali ya wazungu mpaka unakufa what a waste!! hahahahahahaha

Le Mutuz

hahahahahaha... we le mutuz kawahi tiba mirembe haraka kabla hali haijawa mbaya sana mkuu
 
- Kama kawaida lazima mjiseme kuhusu tabia zenu yaani tunaongelea mambo ya nyumba ya mama wewe unaleta mambo ya tabia zako huko mtaani sasa sisi tufanye nini unatangaza biashara yako hapa? hjahahaha halafu nani kakuuliza kuhus
u mambo yako ya binafsi?

Le Mutuz

Baaabuuu punguza u zombie, tulia ukweli ukuingie vizuri ..... mawe yote hayo bado u mzima tu!!!! Kama nyumba anayo ishi mamako ww uwezi fikia!!! Ni nyumba ya aina gani iyo?????? Mashauzi meeengi uku kumbe huna lolote .....sooote tuweke nyumba za wazazi wetu patatosha kweli hapaaa!!! Uo ukuta wenyewe hauna hata hadhi ya banda la mamangu la kuku ....mmmmfyuuuu.
 
Kwa umri wako kuwa bilionea ni maajabu ya dunia. .kuna umri ukigonga kama hujafanikisha ndoto zako tegemea miujiza!....kuna mtu anatuletea picha za nyumba hiyo ya bi mkubwa wako upande wa ndani tuone na maeneo ya chooni..

- HAHAHAHAHA vipi kwa umri wako ni Bilionea tayari? hahahahahahaha vipi ukiweka kwanza ya mama yako au umemjengea majuu maana una miaka 15 na ni bilionea tayari au? hahahahahahah

Le Mutuz
 
- Wewe rudi Tanzania Nyerere rika lako alishafariki wazazi wako wote walishafariki, miaka 60 hujarudi nyumbani walishakusahau a depressed humna being na huyo mke wako Mlemavu pole sana utaishia huko huko watatuma majivu tu, wenzako tumeishi huko tumerudi nyumbani na nipo hapa Tunduma ninaendelea na maisha, wewe utaishi akutunzwa na serikali ya wazungu mpaka unakufa what a waste!! hahahahahahaha

Le Mutuz

You sir truly have serious issues.And JF is not helping you at all.

Thanks for killing people who are alive and kicking. You must be some "Sheikh yahaya". You seem to be very good at deciphering usernames.

Ndugu Malecela, Jina la Mzee wako lina heshima ya kutosha Tanzania, Enough is enough cut this bullshit and respect your father. He might have made mistakes as a parent but he doe snot deserve what you are doing to his name. The old mad did a commendable job for this nation for many years. With all his humanly errors He is not to be subscribed to this madness you are creating.
Go see a proper therapist and chill down.
Call Andrew he might be able to give you some meditation techniques.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom