Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hii ndio maada ya kuileta Jukwaa la siasa?? kuwa na adabu mpumbavu mkubwa na wenzako wote mnaomjadili Le mutuzi
mpaka unamuanzishia thread huyu mtu amekutawala na you are nobody! huna identity, huna address, haujiamini, uko inferior!
take it or leave it
Na wewe bwana. Kwani una miaka mingapi mwenzetu? Le Mutuz ni sawa na wasanii wa bongo muvi, wanapenda scandals ili tu wawe followed na kwa bahati mbaya watanzania wengi wanapenda watu dizaini ya Le Mutuz ili wajipotezee muda.
Le super akili kubwazz
Maza fanta gademu super mbululazz mmanidiscus
Mimi nipo zangu le msasani club with my super number one fan batazz gademu mbululaz endeleeni kunisema super akili kubwazz asubuhi nina kikao na super billionea davis mosha in my office downtown
Am humbled you know
Le Mutuz
kumbe kuacha watu wakutukane ni busara, na kuzuia watu wasiendelee kutukana ni kufilisika duuu
Kaka ongea kwa facts ndugu ukikuta anasema hvyo ujue kitu anajaribu kukufafanulia vizuri hawezi from no where akaanza kujisifu sema kwa vile na we ni mbongo sishangai lakini mm huwa sioni kosa lake anakublock coz wabongo wengi hatuwezi bishana bila kuingizia matusi ndo maana Ana kublock coz hujaakuita kwa page ake afu unafika unaanza kutukana
Wakuu za mida tena,
Nimekuwa nikifutilia mijada mbali mbali kila kukucha kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mstakabali wa nchi yetu.ila kwa nataka leo nami niongelee busara za huyu jamaa anae jiita king of all social media LEMUTUZ nation.
Lemutuz nation maarufu kwa ku post picha za kujisifu na mabebez amekuwa akijiita mchambuzi wa siasa na kuuaminisha uma yeye ana fact na kupenda sana kusema yeye mawazo yake ndio uchunguzi na final say kwa kila jambo na sio opinions (mtazamo wake).
Lemutuz (William Malecella) mara kadhaa hujisifu na kubeza watu wengine alikuwa team membe mwanzon baadae akashindwa akakubali matokeo baada ya magufuri kushinda.
Leo natamani watu wajue busara zake humu ziko wapi?Na naona anazidiwa na mwigizaji wema sepetu kwa kile tunaita political tolerance maana yeye hapendi umpinge hoja yake aliyo weka instagram ukimpinga tu au ukitoa maoni yakuto mwambia unaakili kubwa ana kublock.
Mfano alitupia wiki iliyo pita kuhusu kushauli CHADEMA kuwa watanzania walitegemea ukombozi kutoka CHADEMA na watanzania waliamini sana CHADEMA kwa mabadiliko lakini wamemkaribisha lowassa wamewakosea watanzania.
Nikamjibu toka lini wewe Lemtuz ukawa mshauri wa CDM wakati tunajua wewe ni CCM damu kwanini unalialia wakati CCM hamtaki Lowassa hvyo tu et kaniblock.
Wadau je huyu hazidiwi uvumilivu na Wema Sepetu ambae kila sku anapigwa na kutukanwa na hamblock mtu?